haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 485
- 138
unajuwa kansa husababishwa na nini?, bonyeza link ifuatayo ukasome kansa huletwa na nini mwilini na kwanini imeshindikana kutibika kirahisi mahospitalini: kansa | maajabu ya majiMkuu hapo sijakuelewa vizuri,una maana unakula staferi lenyewe? Au mbegu zake maana kama ujuavya lugha ya Taifa lakini kazi kweli kweli. Nitoe tongotongo kwenye macho ili niweze kukuelewa.