Soma hapa tafadhali

Soma hapa tafadhali

Pelham 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
548
Reaction score
99
Habari zenu Wadau,
Naomba ushirikiano wenu kwa alie teyari
Tuna Kampuni yetu ya Marketing yenye Directors 2 inayojihusisha na Advertising,Marketing na Promotions iliopo Sinza Kumekucha.
Kampuni yetu ina takriban miaka 2 tangu ianze kazi,katika kipindi hiki tumekua tunapata kazi ndogondogo za Advertising na Marketing.
Mwanzoni mwa mwezi huu tumekutana na mdau ambae anataka kutupatia kazi ya ku-advertise brand flan..hata hivo changamoto tuliyonayo imekua ni mtaji,kwa kazi anayotaka kutupa inahitaji mtaji wa angalau million 5,kwa sasa sisi tuna nusu ya kiasi hicho,hivo tunahitaji angalau million zingine 3 ili tuweze kupewa contract ya kazi hiyo.
Kwa ambaye atapenda kuwekeza na kuwa mdau mwenzetu kwenye huu mchakato,au ana maswali zaidi tafadhali fika ofisini kwetu sinza kumekucha,au unaweza kuni-PM,au tuwasiliane kwa namba 0714-074040..!!
 
Hawatoi advance payment? mara nyingi kwenye kazi za advertising huwa wanalipia up to 70% mwanzo. Au kama ni kataba wa muda mrefu huwa kuna "progressive payments". Ikiwa hao mnaowafanyia advertisements hawawezi kumudu gharama za kazi zao hivi mkimaliza watawalipa kweli? Fikiri.
 
Back
Top Bottom