Soma Hii Kama Unataka Kujifunza SIRI Hii ya Mauzo Kutoka Kwa Hawa Vijana Wawili wa Chuo!..

Soma Hii Kama Unataka Kujifunza SIRI Hii ya Mauzo Kutoka Kwa Hawa Vijana Wawili wa Chuo!..

Seif Mselem

Senior Member
Joined
Oct 16, 2023
Posts
161
Reaction score
526
…Miaka ya 70’s Nchini Marekani…
.
Katika Chuo Kikuu cha…“Harvard”
.
(Harvard University)
.
…walikwepo Vijana wawili Wadogo waliojulikana Kama…
.
“Bill na Paul”
.
Walikuwa ni Vijana wa kawaida Waliopenda Kuchezea na Kujifunza Computer na Computer programming Muda wote…
.
Siku moja Bill akiwa Hosteli amepumzika… Aliletewa habari Nzuri na Mwezake Paul kuwa…
.
Kuna Kampuni moja Lilolokuwa Linataka Kutengenezewa… “Operating System”
.
Kama Hufahamu Tu...
.
Operating System ni...
.
Program ambayo Ikiwepo kwenye Kifaa chako Aidha ni Simu au Computer Inafanya kazi ya ku Manage...
.
Application zingine Zote ambazo Zitakuwa Installed
.
Mfano...
.
Kwenye Computer kuna...Window, Ubuntu, Linux na IOS!
.
Na...
.
Kwenye Simu kuna...Android na IOS!
.
Kwahiyo...
.
Kwa haraka haraka Bill akajua huu Utakuwa ni Mchongo wa Kupiga Hela…
.
Na…

Walikuwa na Wazo kwamba Kama wakikaa chini wakatulia Basi walikuwa wanaweza Kutengeneza hiyo Operating System na Kufanya kazi
.
Bill Akamuuliza Paul… “So, what do we do?”
.
Paul Akajibu kwa Kujiamini…
.
“Let’s Get into Work”
.
Madogo Wakaingia Mzigoni…
.
Ndani ya kama Siku 7 Hivi tayari wakawa Wamemaliza Kuunda Mfumo Mzima wa hiyo… Operating System!
.
Wakapanda Pipa (Ndege) wakaenda Hadi kwenye Ofisi Kuu za hiyo Kampuni…
.
LAKINI…
.
Wakati wanafika Wakakuta tayari Kuna Mjasiriamali mwingine kama wao Tayari yupo Ofisini akisubiri kufanya Presentation ya kile alichokuwa nacho…
.
Kwahiyo… wakati wa Presentation ulipofika aliaanza Kuingia yule waliomkuta…
.
Jamaa alikuwa…
.
Yuko Rafuu (Amevaa Vibaya)…
.
Nywele Ziko Hovyo…
.
Anaongea kwa Kiburi…
.
n.k…
.
Kwahiyo...Baada ya Kumaliza Presentation yake…
.
Mkurugenzi wa Kampuni aliipenda Operating System ya jamaa japo Hakumpenda Mtengenezaji
.
(Yaani… Hakumpenda Jamaa Jinsi Alivyo)!
.
…Ilipofika zamu ya Bill na Paul kufanya Presentation kwa Mkurugenzi yule yule…
.
Mkurugenzi Alisema… Amependa Wazo Lao LAKINI Ameipenda zaidi Operating System ya yule Jamaa mwingine…
.
Yaani…
.
Kwa Maneno Mengine Rahisi ni Kwamba…
.
Mkurugenzi alitaka Kununua kutoka kwa Hawa Vijana wawili wa Chuo, Lakini walikuwa Wanataka aina Nyingine ya Operating System!
.
Na… Hapo ndipo vichwa vya Bill na Paul vilipowaka Moto ili Kujua wangefanyaje…
.
Kama baada ya Dkk 15 za Ukimya… Paul akaja na Wazo moja Makini sana…
.
Unajua Alifikiria Nini Paul?..
.
Okay… Angalia Hapa Chini[emoji116]
.
Anamwambia Bill Sasa…
.
“Kama Mkurugenzi kaipenda Operating System (OS) ya Jamaa ILA Hajataka kununua toka kwake… Kwanini Sisi tusiende Kununua hiyo OS Kisha tuje kuiuza kwenye hii Kampuni?”
.
Ilikuwa ni Bomba moja ya Idea ambalo Bill Hakufikiria Kabisa…
.
Bila kupoteza Muda Bill na Paul walipanda Chopa (Ndege) hadi Seattle… Mji ambao huyu Jamaa mwenye hiyo OS alikuwa Akiishi…
.
Wakafanya Negotiations za Kununua, Kisha wakarudi kwa Mkurugenzi wa Kampuni…Waka install na ku test hiyo OS Mpya…
.
Kwa Bahati Nzuri… ILIFANIKIWA!
.
Na… hapo Ndio ukawa Mwanzo wa Kuzaliwa kwa Biashara Mpya…
.
Na…
.
Kampuni kubwa ya Kutengeneza Operating System Duniani...
.
Inayoitwa...“Microsoft Company”
.
Na...
.
Hao Vijana wawili wa Chuo Ndio…
.
“Bill Gates na Paul Allen”…Unaowajua hadi Leo hii!
.
Kwahiyo…
.
Kwenye kufanya Maamuzi… Watu wote hufanya Maamuzi kutokana na “HISIA” zao na Hisia zote Zinatokana na Jinsi mtu anavyojisikia Kuhusu Wewe au Mtu mwingine!
.
So... Nini Moral ya Hii Story Yote?
.
Okay… Kabla Sijakwambia, Ngoja kwanza Nikuulize Hili Swali Hapa Chini[emoji116]
.
“Unadhani... Kwanini Mkurugenzi Hakutaka kununua Operating System Kutoka kwa yule Jamaa wa Kwanza?”
.
Kama Majibu yako Yanafanana na Hivi… Basi Uko Sahihi[emoji106]
.
Angalia Hapa…
.
Ni…
.
Kwasababu… Yule jamaa alikuwa Hafanani na watu anao Wauzia hiyo OS yake!
.
Alikuwa Anakosa Kitu Kimoja Kinaitwa…
.
“SIMILARITY au COMMONALITY”
.
Ukweli ni kwamba… Watu huwa wako Tayari kununua au Kufanya biashara na Wauzaji wanaofanana na Wao!
.
Ukimuangalia kwa Makini yule jamaa…
.
Utagundua alikuwa Hafanani na watu wa Ofisini ambao ndio walikuwa Wateja wake wa hiyo OS Ndio sababu alipofika… Mkurugenzi alimuona Kama ni Mtu Mgeni
.
Na… Watu huwa hawanunua Kutoka kwa Watu Wasiowajua
.
A.K.A… Wageni!
.
(People DON’T Buy Things From Strangers)!
.
Ndio Maana… Mkurugenzi alipenda Kazi yake Lakini Hakumpenda mwenye Kazi…
.
Na…“Similarity”
.
Ndicho kitu Kilichowapa dili kina Bill Gates na Paul Allen…
.
Kwasababu… Waliingia kwenye Presentation wakiwa na Mwonekano sawa na Wateja wao…
.
Kisha Kikatengenezwa Kitu Kinaitwa…

“LIKABILITY”
.
Yaani… Bill na Paul walitokea Kupendwa na Mkurugenzi kutokana na Mfanano walionao kwa Mnunuzi wa OS yao
.
Na… Kama unavyofahamu wana Chuo wanavyovaa
.
(Simple But Smart)!
.
Kwahiyo…
.
Hata kama wewe Unataka Kuongeza Mauzo kwenye Biashara yako… Basi ANZA Kwanza kwa Kufanana na Wateja au Walengwa wako!
.
Hiyo Ndio Itakuwa SIRI yako ya Kuwa Maili kumi Mbele ya washindani zako Sokoni…
.
Na…
.
Hiyo “SIMILARITY” ni Moja ya Kipande Kidogo tu Katika…SIRI Kuu 5 za Kufanya watu Wakupende na Wafanye kama Unavyotaka…
.
Kwahiyo…
.
Kama unataka Kuwa na Kitu Kinaitwa… “Likable Traits” kwenye Biashara yako basi…
.
Nenda Ukurasa wa 87 wa Kitabu Changu Kipya cha… “CHANGE”
.
Nimekuelezea Kitu hicho kwa Kina zaidi + Mifano ya Kutosha ya kwenye Mazingira yetu ya Kibongo…
.
Kwahiyo…
.
Kama Ungependa Kujifunza Zaidi… Basi fanya Ukitafute Kitabu Hicho.
.
Kwasababu... Unaendelea Kupitwa na Madini Mengi na Adimu Kupatikana!
.
By the way...
.
Kama Umependa Makala hii... Usiache ku Comment na ku Like hapa Chini[emoji116]
.
Na...
.
Kama Una Maoni au Mawazo yoyote ya Kuongezea hapa Chini... Karibu Uwanja ni wako.
.
I Hope Umejifunza Kitu!
.
Uwe na IJUMAH Kareem.
.
PEACE [emoji3577]
.
Seif Mselem
 
…Miaka ya 70’s Nchini Marekani…
.
Katika Chuo Kikuu cha…“Harvard”
.
(Harvard University)
.
…walikwepo Vijana wawili Wadogo waliojulikana Kama…
.
“Bill na Paul”
.
Walikuwa ni Vijana wa kawaida Waliopenda Kuchezea na Kujifunza Computer na Computer programming Muda wote…
.
Siku moja Bill akiwa Hosteli amepumzika… Aliletewa habari Nzuri na Mwezake Paul kuwa…
.
Kuna Kampuni moja Lilolokuwa Linataka Kutengenezewa… “Operating System”
.
Kama Hufahamu Tu...
.
Operating System ni...
.
Program ambayo Ikiwepo kwenye Kifaa chako Aidha ni Simu au Computer Inafanya kazi ya ku Manage...
.
Application zingine Zote ambazo Zitakuwa Installed
.
Mfano...
.
Kwenye Computer kuna...Window, Ubuntu, Linux na IOS!
.
Na...
.
Kwenye Simu kuna...Android na IOS!
.
Kwahiyo...
.
Kwa haraka haraka Bill akajua huu Utakuwa ni Mchongo wa Kupiga Hela…
.
Na…

Walikuwa na Wazo kwamba Kama wakikaa chini wakatulia Basi walikuwa wanaweza Kutengeneza hiyo Operating System na Kufanya kazi
.
Bill Akamuuliza Paul… “So, what do we do?”
.
Paul Akajibu kwa Kujiamini…
.
“Let’s Get into Work”
.
Madogo Wakaingia Mzigoni…
.
Ndani ya kama Siku 7 Hivi tayari wakawa Wamemaliza Kuunda Mfumo Mzima wa hiyo… Operating System!
.
Wakapanda Pipa (Ndege) wakaenda Hadi kwenye Ofisi Kuu za hiyo Kampuni…
.
LAKINI…
.
Wakati wanafika Wakakuta tayari Kuna Mjasiriamali mwingine kama wao Tayari yupo Ofisini akisubiri kufanya Presentation ya kile alichokuwa nacho…
.
Kwahiyo… wakati wa Presentation ulipofika aliaanza Kuingia yule waliomkuta…
.
Jamaa alikuwa…
.
Yuko Rafuu (Amevaa Vibaya)…
.
Nywele Ziko Hovyo…
.
Anaongea kwa Kiburi…
.
n.k…
.
Kwahiyo...Baada ya Kumaliza Presentation yake…
.
Mkurugenzi wa Kampuni aliipenda Operating System ya jamaa japo Hakumpenda Mtengenezaji
.
(Yaani… Hakumpenda Jamaa Jinsi Alivyo)!
.
…Ilipofika zamu ya Bill na Paul kufanya Presentation kwa Mkurugenzi yule yule…
.
Mkurugenzi Alisema… Amependa Wazo Lao LAKINI Ameipenda zaidi Operating System ya yule Jamaa mwingine…
.
Yaani…
.
Kwa Maneno Mengine Rahisi ni Kwamba…
.
Mkurugenzi alitaka Kununua kutoka kwa Hawa Vijana wawili wa Chuo, Lakini walikuwa Wanataka aina Nyingine ya Operating System!
.
Na… Hapo ndipo vichwa vya Bill na Paul vilipowaka Moto ili Kujua wangefanyaje…
.
Kama baada ya Dkk 15 za Ukimya… Paul akaja na Wazo moja Makini sana…
.
Unajua Alifikiria Nini Paul?..
.
Okay… Angalia Hapa Chini[emoji116]
.
Anamwambia Bill Sasa…
.
“Kama Mkurugenzi kaipenda Operating System (OS) ya Jamaa ILA Hajataka kununua toka kwake… Kwanini Sisi tusiende Kununua hiyo OS Kisha tuje kuiuza kwenye hii Kampuni?”
.
Ilikuwa ni Bomba moja ya Idea ambalo Bill Hakufikiria Kabisa…
.
Bila kupoteza Muda Bill na Paul walipanda Chopa (Ndege) hadi Seattle… Mji ambao huyu Jamaa mwenye hiyo OS alikuwa Akiishi…
.
Wakafanya Negotiations za Kununua, Kisha wakarudi kwa Mkurugenzi wa Kampuni…Waka install na ku test hiyo OS Mpya…
.
Kwa Bahati Nzuri… ILIFANIKIWA!
.
Na… hapo Ndio ukawa Mwanzo wa Kuzaliwa kwa Biashara Mpya…
.
Na…
.
Kampuni kubwa ya Kutengeneza Operating System Duniani...
.
Inayoitwa...“Microsoft Company”
.
Na...
.
Hao Vijana wawili wa Chuo Ndio…
.
“Bill Gates na Paul Allen”…Unaowajua hadi Leo hii!
.
Kwahiyo…
.
Kwenye kufanya Maamuzi… Watu wote hufanya Maamuzi kutokana na “HISIA” zao na Hisia zote Zinatokana na Jinsi mtu anavyojisikia Kuhusu Wewe au Mtu mwingine!
.
So... Nini Moral ya Hii Story Yote?
.
Okay… Kabla Sijakwambia, Ngoja kwanza Nikuulize Hili Swali Hapa Chini[emoji116]
.
“Unadhani... Kwanini Mkurugenzi Hakutaka kununua Operating System Kutoka kwa yule Jamaa wa Kwanza?”
.
Kama Majibu yako Yanafanana na Hivi… Basi Uko Sahihi[emoji106]
.
Angalia Hapa…
.
Ni…
.
Kwasababu… Yule jamaa alikuwa Hafanani na watu anao Wauzia hiyo OS yake!
.
Alikuwa Anakosa Kitu Kimoja Kinaitwa…
.
“SIMILARITY au COMMONALITY”
.
Ukweli ni kwamba… Watu huwa wako Tayari kununua au Kufanya biashara na Wauzaji wanaofanana na Wao!
.
Ukimuangalia kwa Makini yule jamaa…
.
Utagundua alikuwa Hafanani na watu wa Ofisini ambao ndio walikuwa Wateja wake wa hiyo OS Ndio sababu alipofika… Mkurugenzi alimuona Kama ni Mtu Mgeni
.
Na… Watu huwa hawanunua Kutoka kwa Watu Wasiowajua
.
A.K.A… Wageni!
.
(People DON’T Buy Things From Strangers)!
.
Ndio Maana… Mkurugenzi alipenda Kazi yake Lakini Hakumpenda mwenye Kazi…
.
Na…“Similarity”
.
Ndicho kitu Kilichowapa dili kina Bill Gates na Paul Allen…
.
Kwasababu… Waliingia kwenye Presentation wakiwa na Mwonekano sawa na Wateja wao…
.
Kisha Kikatengenezwa Kitu Kinaitwa…

“LIKABILITY”
.
Yaani… Bill na Paul walitokea Kupendwa na Mkurugenzi kutokana na Mfanano walionao kwa Mnunuzi wa OS yao
.
Na… Kama unavyofahamu wana Chuo wanavyovaa
.
(Simple But Smart)!
.
Kwahiyo…
.
Hata kama wewe Unataka Kuongeza Mauzo kwenye Biashara yako… Basi ANZA Kwanza kwa Kufanana na Wateja au Walengwa wako!
.
Hiyo Ndio Itakuwa SIRI yako ya Kuwa Maili kumi Mbele ya washindani zako Sokoni…
.
Na…
.
Hiyo “SIMILARITY” ni Moja ya Kipande Kidogo tu Katika…SIRI Kuu 5 za Kufanya watu Wakupende na Wafanye kama Unavyotaka…
.
Kwahiyo…
.
Kama unataka Kuwa na Kitu Kinaitwa… “Likable Traits” kwenye Biashara yako basi…
.
Nenda Ukurasa wa 87 wa Kitabu Changu Kipya cha… “CHANGE”
.
Nimekuelezea Kitu hicho kwa Kina zaidi + Mifano ya Kutosha ya kwenye Mazingira yetu ya Kibongo…
.
Kwahiyo…
.
Kama Ungependa Kujifunza Zaidi… Basi fanya Ukitafute Kitabu Hicho.
.
Kwasababu... Unaendelea Kupitwa na Madini Mengi na Adimu Kupatikana!
.
By the way...
.
Kama Umependa Makala hii... Usiache ku Comment na ku Like hapa Chini[emoji116]
.
Na...
.
Kama Una Maoni au Mawazo yoyote ya Kuongezea hapa Chini... Karibu Uwanja ni wako.
.
I Hope Umejifunza Kitu!
.
Uwe na IJUMAH Kareem.
.
PEACE [emoji3577]
.
Seif Mselem
Bill ni ukoo wa Malkia Elizabeth na Rockefeller ujue
 
Back
Top Bottom