kinapatikana posta dsm we upo wp??
usipate shida ya kukifata Posta mimi naweza kukutumia sasa hivi cha msingi uwasiliane nami. japo utanirudishia gharama ya elfu 5, nakupatia kwenye softcopy pamoja na audiobooks. mawasiliano zaidi +255715805600.Bei gani? Asante kwa taarifa nzuri yenye nia ya kuelimishana.
Naomba unitumie kwenye Hii emailme ninavitabu viwili vya robert kiyosaki cha kwanza ni poor dady and rich dady na cha pili ni guide to investment na vingine vingi na vyote ni soft copy . Kwa yoyote atakayeweza kunifuata nilipo ntampa kwa free. Napatika Arusha ungalimited. Tushirikiane kujenga nchi yetu
mimi pia ni mwandishi wa vitabu. kwa kukusaidia, sijui kama unafanya biashara au la, kama haufanyi biashara, sawa unaweza kutumia watu kwa soft copy. ila kama unafanya biashara, the moment ukiwatumia watu walau 20 tu, ambao wapo humu jf, hutauza tena, kwasababu watu watakuja kukipost hapahapa jf na kutumia watu bure, then wewe utakuwa hauna umuhimu tena. mfano; ukinitumia mimi iyo soft copy, kwenye thread yeyote ya investment, nitapost kitabu hicho ili watu wakisome, watadownload hapa jf bure, na wewe watakushangaa kwanini unauza. ni wazo tu lakini.usipate shida ya kukifata Posta mimi naweza kukutumia sasa hivi cha msingi uwasiliane nami. japo utanirudishia gharama ya elfu 5, nakupatia kwenye softcopy pamoja na audiobooks. mawasiliano zaidi +255715805600.
pia nina vitabu vyote vya robert kiyosaki na vingine vingi kwa ajili ya kupata motisha na kujifunza jinsi ya kuwa msaka pesa na mafanikio
me ninavitabu viwili vya robert kiyosaki cha kwanza ni poor dady and rich dady na cha pili ni guide to investment na vingine vingi na vyote ni soft copy . Kwa yoyote atakayeweza kunifuata nilipo ntampa kwa free. Napatika Arusha ungalimited. Tushirikiane kujenga nchi yetu
kaka ntashukuru sana kama utanitumia kwenye email yangu. Mbegasadik@gmail.com
natanguliza shukrani zangu kaka.[/QUOT]
yaani umewekewa kitabu hapo bado unashindwa kudownload bado unaomba utumiwe kwa email,jiongezeni bana
kaka ntashukuru sana kama utanitumia kwenye email yangu. Mbegasadik@gmail.com
natanguliza shukrani zangu kaka.[/QUOT]
yaani umewekewa kitabu hapo bado unashindwa kudownload bado unaomba utumiwe kwa email,jiongezeni bana
Nimemuomba sababu kubwa ni kwamba ana vitabu zaidi ya kimoja. Then sijaona ubaya kama atanitumia kikawa kwa email yangu
thanks.mimi pia ni mwandishi wa vitabu. kwa kukusaidia, sijui kama unafanya biashara au la, kama haufanyi biashara, sawa unaweza kutumia watu kwa soft copy. ila kama unafanya biashara, the moment ukiwatumia watu walau 20 tu, ambao wapo humu jf, hutauza tena, kwasababu watu watakuja kukipost hapahapa jf na kutumia watu bure, then wewe utakuwa hauna umuhimu tena. mfano; ukinitumia mimi iyo soft copy, kwenye thread yeyote ya investment, nitapost kitabu hicho ili watu wakisome, watadownload hapa jf bure, na wewe watakushangaa kwanini unauza. ni wazo tu lakini.