Soma maamuzi ya hakimu huyu juu ya ndoa


hilo somo ni somo potoshi. barua imesema binti akae kwa wazazi wake haidi uamuzi wa mahakama utakapofikiwa juu ya hiyo ndoa. ndoa haijavunjwa hapo. tusiangalie mambo juu juu. hivi kama huyu mwanamke usalama wake u hatarini na mwanaume hajapatikana. huyu mwanamke anakwenda kukaa wapi? anasaidiwaje? au angekwenda mahabusu mpaka uamuzi wa ma hakama ufikiwe?.

barua hiyo ni hati ya utambulisho wa huyo binti kwa wazazi wake. sote hapa hatufahamu yaliyojiri kwa undani. si vema kuchukulia juu juu kuwa hakimu amepotoka. mathalani huyu binti ameiambia mahakama kuwa kwa mumewe sio salama na mahamama imejiridhisha kuwa si salama , na bado isichukue hatua zozote za kumlinda, angedhuliwa kwa namna yoyote bado tungelalamika kuwa mwanamke hakulindwa kwa uzembe.

aliyeiweka hii barua hapa ni mvivu sana. hiyo barua angeiweka akitoa na ufafanuzi juu ya nini kinajiri ktk hiyo kesi. lakini yeye ameipost na kurudia maandishi yaliyopo ktk waraka
 
hii si barua yakimahakama....mapungufu kibao
 
Ndiyo maana sasa hivi wanatakiwa mahakimu wenye uelewa wa sheria sio hao wanaohukumu kwa "kuhisi na kudhani"
 
jamani tusitoe hukumu bila kujua 'facts' za hii kesi ili tujue vipi hakimu alifikia maamuzi haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…