Soma Number: 25% of New Skysrapper Construction in Africa are in Kenya

Whaat? $573 bn???

Someone help me..
Is this Nigeria I know have this Huge GDP, ??
And why are they just like poor countries.. ?
The population is very high that's why the big economy doesn't affect everyone. Hope you understand?
 
The population is very high that's why the big economy doesn't affect everyone. Hope you understand?

I think u get this bulk money mainly from oil, if I am not wrong..
What about this 180mn people.. ?? Don't they generate anything else ? Do u mean 180mn relies sorely on $573bn from oil?

If I am wrong then u really need to stop reproducing like rodents.
See your fellows in your toplist and be ashamed
 
Hohoho, they are now on rebar, where is ichoboy and company??? Avic international Africa headquarters (45floor office tower) is almost kempinski height, Montave on full scale excavation ........
 
Achana na mambo ambayo ni less important to common mwananchi, how do you get out of this situation? Se connecter à Facebook | Facebook
 
Achana na mambo ambayo ni less important to common mwananchi, how do you get out of this situation? Se connecter à Facebook | Facebook
Umekosa kazi au umekosa hoja?? Yani umezunguka kote ukitafuta comment ya FB uje ubandike kwa thread ambayo hata haihusiani?
Hivi nikienda kwa thread ya Tz ya majumba nianze kupost comments za 'udini' tanzania au wala albino mtasemaje..
Alafu majumba kama hayo yanakengwa na watu, simiti wanayotumia inatengenezwa kwa mitambo inayo andika watu kazi, vyuma vinavyotumika vinatengenezewa hapa, stima itakayotumika kwa hilo jumba itafaidisha kampuni za kenya, insuarence ya hilo jumba italipwa kampuni ya kenya, kodi nayo hivyo hivyo... Watakaofanya kazi humo 90% ni wakenya watalipwa mishahara, wote watahitaji chakula, chakula kitatoka kwa wakulima wa kenya...naeza kuchukua siku nzima nikiendelea
 
[emoji23] [emoji23] Samahani sana kama nimekosea, ila ukinijibu hilo nililokuuliza utakuwa umenisaidia sana, kwa sababu mimi ninaamini kabla ya kujenga majumba na barabara ni muhimu kujenga umoja wa kitaifa ili hayo majumba yatumika ndani ya nchi yenye utulivu na amani, nijibu tu kama kuna matumaini ya kuleta umoja wa kitaifa, au imeshindikana?
 
Kenya kuna ukabila, ambao unajitokeza zaidi wakati wa siasa... Chenye huyo mtu wa fb alichokua anakiongelea ni maafa ya kisiasa ... Hata hapo Tanzania hayo hufanyika usijaribu kutudanganya, hamna ukabila lakini mko ma uchama na udini, hata yule jamaa Lisu alipopigwa risasi, vilio vya wana Chadema havikia sawa na vilio vya wana CCM, infact kuna wana CCM wengine walikua wanasherehekea.

Alafu unafaa ujue hakuna hata siku moja mkenya atanyamaza akihisi unadhulumiwa, usikosee kwa kufikiria hapendi nchi yake. Hapa hakuna cha blind patriotism,
 
Se connecter à Facebook | Facebook

Swali langu lilikua ni, Je nilini mtaanza kushughulikia utengemano wa kitaifa au imeshindikana badala yake mnaangalia maendeleo ya vitu kama majumba, barabara na SGR?, Tanzania ilianza kwa kujenga umoja wa kitaifa, kuondoa tofauti za msingi miongoni mwa watu wake, baada ya kufanikiwa huko, ndiyo sasa imegeukia kujenga majumba, barabara na sector zingine za uchumi, Kenya mlianza kujenga uchumi bila kujali kujenga umoja wa kitaifa, na Jumatano Raila anatangaza rasmi kuanza vuguvugu la kujitenga kwa majimbo yaliyo chini ya NASA, je Kenya imeshindwa kujenga umoja wa kitaifa?
 
Hayo ni yako mwenyewe. Hakuna Mahali imeandikwa kua ni lazima nchi ionekane 'imeungana' ndo iwe na maendeleo .

Mwengine kwa maoni yake atasema kabla ya nchi kushighulikia utengamano wa nchi, ni lazima lishe bora kwa kila mwananchi mwanzo..

Mwengine atapinga vikali na kudai afya bora kwa kila mtu ndo inafaa liwe jambo la kwanza nchi itatatua.

Mwengine atatoka na kudai elimu bora na kutoa ujinga(ignorance) ndo inafaa iwe jambo la kwanza alafu mengine badae , ili wananchi wote wawe sawa intellectually.
 
Hayo ni yako mwenyewe. Hakuna Mahali imeandikwa kua ni lazima nchi ionekane 'imeungana' ndo iwe na maendeleo .
Mbona unakwepa swali?, mimi nimeuliza kama mnadhani kujenga umoja wa kitaifa ni jambo muhimu, je ni lini mtaanza kujenga utengamano?, kama bado mnadhani sio muhimu kama alivyofikiria Mzee Jommo Kenyatta, kama bado mnadhani kujenga uchumi ni jambo muhimu zaidi kuliko umoja wa kitaifa, jibu tu...wala sijasema kwamba ni lazima kuwe na unity ndiyo maendeleo yapatikane

Kumbuka Kenya na Tanzania ni nchi mbili tofauti sana, japo zipo majirani, Tanzania inaamini na kuthamini UTU wa mtu zaidi, kwa hiyo umoja, usawa na udugu ni vitu vinavyopewa thamani kubwa. KENYA kwa upande wake inathamini zaidi mali/uchumi, mwenye mali ndiye anayepata kila kitu, utu, udugu na umoja sio muhimu sana kwa Kenya
 
Tundu lisu mlotaka afe Yu wapi Sasa, taarifa zake za kupokea uponyaji yuatolea wapi kama sio Nairobi, huku mko macho pepesi pepesi kuona yepi ya kufisha moyo kutoka 254.Namba someni someni.......
 
Tundu lisu mlotaka afe Yu wapi Sasa, taarifa zake za kupokea uponyaji yuatolea wapi kama sio Nairobi, huku mko macho pepesi pepesi kuona yepi ya kufisha moyo kutoka 254.Namba someni someni.......
Huelewiki unachotaka kusema, kuwa muwazi unachotaka kuzungumza ili usaidiwe
 
Wacha ujinga unajua mining companies wanatumia cement kiasi gani? SGR? BTW those figures from Kenya r cooked!
 
Wacha ujinga unajua mining companies wanatumia cement kiasi gani? SGR? BTW those figures from Kenya r cooked!
Kama kawaida yake kuokoteza data, then anazifanyia ukarabati ili kuonyesha mambo ni mazuri, kwa taharifa yako, Tanzania by now is biggest producer of Cement in East and Central Africa
 
$30m for Tanzania cement production

By 2013 before Dangote cement factory, Tanzania capacity was 3 millions Tonnes, Dangote cement is producing another 3million Tonnes, where do you get your data?,
 
Wow, 25%! Nai is the region's ultimate city, and clearly, for a very long time it shall remain. It's unsurpassable.

Annael, FaizaFoxy, MOTOCHINI, Dar wapi na wapi kwenye hili? Ati mwaringa na hivyo vichuguu vyefu vichache tu. Bwa ha ha!
Now if only they can solve the garbage mess ,the pervasive street trading and the traffic madness then Nai will have gone a notch higher.It'd be shameful to look good from afar with impressive skyscrapers but get closer and you meet all that mess,potholed streets ,dirty &chaotic public markets plus very poor housing for the majority of residents.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…