Somali Pirates Hijack Ship with 20 Americans!

hao bw washafika patamu,haiwi wao ndio wao tuuuu,kwakuwa wao hawathamini uhai wao sasa wamekutana na watu ambao kwakweli kufa hawapendi,mmarekani afe kwa ajali sawaa,lakni akifa kwa sababu ya mtu mwingine hiyoishakuwa nongwa.wanaweza kujifanya wanataka amani lakini hapo walipowanaham wapate idhini wamalize machungu yao.wanakusanya mijimeli yanini kama si kudhamiria kuwatifua,inavoonekana watapanda nao mpaka majumbani kwao.
 
B. Hussein is mishandling this situation big time. He is projecting weakness and embolding the pirates. The longer this saga continues, the bad it is going to look for America. I sense B. Hussein is afraid to punish the Somali pirates because of his ties and his loyalty.

Remember this photo?



and this one...

 
kuna watu wanatamani kijogoo bush angekuwepo,nafikiri matanga yangekuwa yashaanza,
 

...huh!? hapana bana, "there's always a potential for tragedy when kidnappers feel their options are limited. They may react in more unpredictable and violent ways"
 
Marekani wameongeza meli za kivita katika eneo la tukio na maharamia nao pia wameongeza meli na kati ya hizo meli ni 1 ya Ujerumani ikiwa na mateka wa kigeni.Hii itafanya jaribio lolote la kumuokoa mmarekani kuhatarisha mateka wengine.
 
Hapo wamempapasa faru mapajani. Cjui lakini sitoshangaa wakamlazimisha Bwana BO kujiingiza vitani mapema yote hii.
 
kuna watu wanatamani kijogoo bush angekuwepo,nafikiri matanga yangekuwa yashaanza,

...naaaaaaaaaam, yule na sera zake angeamuru "shock and awe!"... yangefurumishwa mabomu ya machozi na moshi kisha commandos wanavamia...

au Putin na KGB (FSB) wake, huenda wao wangefurumusha mabomu ya 'nusu kaputi' kwenye hako ka boat kama ilivyokuwa kwenye Beslan school siege!

...tuone hizi softie-softie approach, huenda zikazaa mbilimbi au zambarau
 
Yap I can see,hawa jamaa wana silaha duni kabisa kwa jinsi nilivyoona CNN but what I gues wanaweza kuwa more equiped.Waathirika wa janga hili tena mataifa makubwa i.e Germany,USA,France,Japan etc,ushauri wangu kwa nini wasifanye operation kali kabisa ikiwezeka kuwe na doria nzuri huo mwambao extend kwenye miji inayosemekana jamaa wakipata hela huoa wanawake zaidi na hufanya visherehe kujipongeza,this means hawa waheshimiwa wameshahalalisha dili lao.Namuombea kwa mwenyezi Mungu capt.Phillipo atoke salaam kwa vile hana hatia.
 
Yap I can see,hawa jamaa wana silaha duni kabisa kwa jinsi nilivyoona CNN but what I gues wanaweza kuwa more equiped...

...fafanua, huenda una ujumbe mzuri tu.
 
sielewi ni kwanini hawa wasomali wazidi kuwa tishio, "something fishy i guess is happening!!!!!!!"
 

somali pirates
upandacho ndio uvunacho,ukipanda uovu utavuna uovu,mimi ninalaani vitendo vya kiharamia vinavyo fanywa na wasomali kunyangaya meli zinazo pita njia,katika dunia hakuna hata dini moja inayoruhusu mtu kumyanganya mwenzake mali yake, dini zote zinatutaka tuishi kwa salama na amani,takriban miaka 16 wasomali walikua wanatoana roho kama hawana akili vizuri,mwaka juzi wakatokea mmoja wao akashida wenzake akakamata madaraka na alhamdulillahi tulisikia sote duniani kwamba sasa unalala mlango nje hakuna jambazi wala kibaka,alie subutu kuvunja amri na kuanzisha fujo,kusikia hivyo tu mmarekani akapeleka vibaraka wake wahabeshi wende wakaiondoe ile serikali iliyoleta amani,lengo la mmarekani kuwatuma wahabeshi kwenda kuiondoa ile serikali ya amani anaijua mwenyewe na kweli waliiondoa ile amani na kurudisha balaa ambayo sasa hivi na wao wanalionja joto la jiwe,ukimuombea jirani yako amani Mungu kwanza anakupa wewe hio amani,na ukipanda mwanzi usitegemee kuvuna muwa wa sukari
 
Wasomali wameaumua kurudi pwani na meli zao zenye mateka wa kigeni, kwani wanasema meli za kivita za marekani zimekuwa nyingi eneo la tukio.

Nafikiri wameshtuka kuwa kwenda kule ni wao kujitia kwenye pini, kwani kama mwizi kujipeleka polisi, wangezunguukwa na negotiations zianze kwa mwaka mzima majini huku makomandoo wakinusa na kupeleleza hawa jamaa wana silaha gani kabla ya kuwapatia nusu kaputi na kuwakamata kama kuku wa kisasa. Hapa sasa ni kwamba wasomali wameshaona kuwa huu huenda ndiyo ukawa mwisho wa biashara yao hiyo wamekosea sana kwenye hili ni bora wawatoe kafara hao pirates wao wanne tu kuliko kumdhulu mmarekani kwani huenda ndiyo ikawa sababu ya marekani kutangaza vita tena.
 
Je chakula hawa watekaji wanapata wapi?

Kwa nini hawa watekaji wasipewe biscuti zenye kadawa ka usingizi basi wakalewa na kulala ndo US wanawakamata kiulaini?
 
Je chakula hawa watekaji wanapata wapi?

Kwa nini hawa watekaji wasipewe biscuti zenye kadawa ka usingizi basi wakalewa na kulala ndo US wanawakamata kiulaini?

All options on the table, ila issue hapa ni kwamba huenda hawa pirate wanaanza kumpa captain msosi aanze kula na baada kama ya saa moja wakiona captain hajadhulika wanakula na wao. Labla wawape dawa zitakazoanza kuwa active after 6 hours
 
Da naona wakulu Amerika wanabadilisha tone ya ishu sasa, naona ishu inaendelea kuwa tete, kwani sasa wanadai eti FBI wameenda kule kuisaidia kampuni inayomiliki meli kunegoshieti na jamaa; Lakini cha jabu ni kuwa wanaongeza arsenal ya mandonga ya kivita..mmmh!!
 
Wasomali wameaumua kurudi pwani na meli zao zenye mateka wa kigeni, kwani wanasema meli za kivita za marekani zimekuwa nyingi eneo la tukio.

Nafikiri wameshtuka kuwa kwenda kule ni wao kujitia kwenye pini, ...

...😀 nami kilikuwa chanishangaza hicho,...hakuna tawi wala kichaka mambo yakiharibika kule majini.

lilobakia hao terrorist waitishe msaada wa NHCR, kuomba hifadhi ya kisiasa popote watapoona watazinusuru roho zao...
 
breaking news; terrorist wengine wa kisomali wanataka kuivamia meli ya Panama kwenye ghuba ya aden, ...lakini crews wanapambana nao kwa water hose!...
 
...fafanua, huenda una ujumbe mzuri tu.

My understanding,insemekana wanatumia gruneti/makombola not sophisticated kwa teknolojia ya sasa,boti zao ukiangalia ni zakawaida tu,nashangaaa wanapata wapi jeuri kuvamia meli kubwa kiasi kile.Kingine nachoona nivijana wadogo kiumri hufundishwa hii business na kujikuta wazoefu wa kuteka bila hata kujua risks zake,mfano juzi wawili wamedead na wengine wamekamatwa an kwa habari zaidi inasemekana kuna pirates wengi wapo Ufaransa wanashitakiwa.Inasemekana serikali ya Somalia ilishawahi kutaka kwenda kufanya operation lakini jamaa walijibu watapigana kujibu mashambulizi,hapa kwa nini serikali ishindwe,jehawa jamaa pengine wamejiimalisha au ni kama Al-Sahaf yule waziri wa habari wa Sadam hussein pengine ni maneno tu.Ni wakati sasa wa kudhibiti tabia hii mbaya ya wahuni hawa.FIGHT THEM TO THE END!!!
 
My understanding,insemekana wanatumia gruneti/makombola not sophisticated kwa teknolojia ya sasa,boti zao ukiangalia ni zakawaida tu,nashangaaa wanapata wapi jeuri kuvamia meli kubwa kiasi kile.

...mbona jibu rahisi tu, wanavamia zile meli kubwa za kiraia kwakuwa kwenye meli kubwa hawana silaha za moto (bastola, bunduki nk). Ni sawa na mabasi yanapovamiwa na majambazi wenda kwa miguu..


...kinacho wa motivate hawa pirates si siasa wala dini, ni pesa tu ya haraka haraka. Ransom ya $2m kwa 'kujitolea' mhanga, hata kama silaha zenyewe ni AK-47 chakavu, sio ngumu wakati nchi hiyo imesambaratika, hakuna serikali yenye nguvu, wala njia mbadala za kujiwezesha kiuchumi! halafu ukitilia maanani Wasomali unyang'anyi na ujangili ni asili yao (tangu zama za pembe za ndovu), naona kama wamefanya hiyo ni 'recreational activity' yao kwa sasa.


...serikali ya Somalia mwisho wake ni Mogadisho, ...nje ya vitongoji vya mji huo ni warlords wanaotawala,... Hao wasemaji wa serikali na mawaziri wanabwekea bandani tu, wakitoka nje ya Mogadisho nao wanaufyata!
 
jamaa wanaotupa toxic waste katika maeneo
hayo sasa wanakwama kwa kuogopa wasomali lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…