Kinachoniumiza ni vile ma-pirates baharini ni vibaraka vya majambazi wanaotumia wizi wa wazungu ka kisingizio cha kuteka meli ... mbona hawawalishi wananchi waSomalia? wanaajiri vitoto vyenye njaa, mara nyingine wakiwatisha kuua familia zao ... fvcked up situation... ningewafagilia ka wangeteka meli na kulazimisha wazungu waache kunyonya mazao ya pwani yao, nk ... as it is now, wamewapa wazungu urahisi wa kutawala pwani zetu, manake hata mvuvi sasa atahatarika kuuawa ... Lord haf mercy!