Somalia ndiyo nchi pekee duniani ambayo ni 'failed state'

hata buguruni malapa ukipiga picha usiku ni pazuri zaid ya hapa
Mkuu Somaliland imeendelea tuache unafiki.
Somaliland sio sawa na Somalia Mogadishu.
Somaliland pametulia na panaridhisha kwa maendeleo yake tuache unafiki.
 
Na safari yao ndefu lakini sisi tunaojiona tumefika, hatuwapati.

Somalia wanapigwa vita na nchi za nje, wanaogopwa kwa Uislam wao.
Somalia Miaka mia haiwezi shindana na Tanzania hata kama ingekuwa ina amani.
Nakubali Tanzania ni taifa linaloenda taratibu ila usifananishe na hako kanchi kaitwacho Somalia.
Somalia hata ingekuwa imeanza kupata uhuru kabla ya TZ na ikawa na amani isingeweza kushindana na TZ.
 
Na safari yao ndefu lakini sisi tunaojiona tumefika, hatuwapati.

Somalia wanapigwa vita na nchi za nje, wanaogopwa kwa Uislam wao.
Waache kuigopa Saudi Arabia kitovu cha uislam waiogope Somalia??
Ivi we bibi huwa unavuta bangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…