Somalia yatishia kuivamia Kenya kama KDF wataendelea kushikilia ardhi ya Somalia

Somalia yatishia kuivamia Kenya kama KDF wataendelea kushikilia ardhi ya Somalia

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Somalia Leader Threatens to Invade Nairobi With Army, Govt Fires Back
Sina uhakika kama ni busara kwa Kenya kuendelea kuweka majeshi yake ndani ya Somalia kwasababu zaidi ya kuongezeka kwa mashambulizi ya Alshabaab ndani ya Ardhi ya Kenya, sasa hivi uhusiano kati ya Somalia na Kenya unazidi kuharibika kila kukicha.

Ikumbukwe kwamba Somalia haina lolote la kupoteza kwasababu nchi yenyewe ilishasambaratika, sasa Somalia inatakuta kupata jirani mwengine ili wasambaratike pamoja, wameshindwa kuivuta Ethiopia, wameamua kufa na Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GlobalFire power 2020
Tanzania sorrounded by more powerful armies than it's own Yani Uganda, Malawi, Mozambique, Rwanda, Zimbabwe, Zambia na Kenya 😁

Out of 30 countries in Africa Tz imeshinda only 6 countries at no 24
https://www.globalfirepower.com/countries-listing-africa.asp
Screenshot_20200302-153113.png
Screenshot_20200302-153118.png
Screenshot_20200302-153118.png
Screenshot_20200302-153018.png
Screenshot_20200302-153010.png
 
Somalia Leader Threatens to Invade Nairobi With Army, Govt Fires Back
Sina uhakika kama ni busara kwa Kenya kuendelea kuweka majeshi yake ndani ya Somalia kwasababu zaidi ya kuongezeka kwa mashambulizi ya Alshabaab ndani ya Ardhi ya Kenya, sasa hivi uhusiano kati ya Somalia na Kenya unazidi kuharibika kila kukicha.

Ikumbukwe kwamba Somalia haina lolote la kupoteza kwasababu nchi yenyewe ilishasambaratika, sasa Somalia inatakuta kupata jirani mwengine ili wasambaratike pamoja, wameshindwa kuivuta Ethiopia, wameamua kufa na Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi news ni outdated this was earlier last month.After Kenya allowed Janan a fugitive who escaped from Mogadishu prison to crossover to Kenya under protection of kdf
.As we speak he is launching his operations from Kenya.
 
Hizi news ni outdated this was earlier last month.After Kenya allowed Janan a fugitive who escaped from Mogadishu prison to crossover to Kenya under protection of kdf
.As we speak he is launching his operations from Kenya.
One month old news inayohusisha mahusiano ya nchi mbili ni outdated news?, kumbuka sakata la Kenya na Somalia kugombania bahari ya Hindi limeanza muda gani sasa?, Je nalo ni outdated?.

Hapo sababu waliotoa Somalia kutaka kuivamia Kenya ni kutokana na KDF kuendelea kukalia ardhi ya Kenya, wewe unaleta sababu tofauti unayoijua wewe, sasa wewe umekua afisa wa serikali ya Somalia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameshindwa kurekebishana nchi yao halafu wanaenda kuangaika kurekebishana nchi za wenyewe.
 
Happening now Fighting on the Kenya-Somalia border btwn Somalia army and JUBALAND mercenaries.
 
One month old news inayohusisha mahusiano ya nchi mbili ni outdated news?, kumbuka sakata la Kenya na Somalia kugombania bahari ya Hindi limeanza muda gani sasa?, Je nalo ni outdated?.

Hapo sababu waliotoa Somalia kutaka kuivamia Kenya ni kutokana na KDF kuendelea kukalia ardhi ya Kenya, wewe unaleta sababu tofauti unayoijua wewe, sasa wewe umekua afisa wa serikali ya Somalia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuelewa ila nilikuwa nataka kumaanisha there are more recent developments concerning the issue .
 

BREAKING: #Somalia Govt accuses #Kenya military in #Mandera of participating the ongoing fight in Balad Hawo town & supporting #Jubaland troops.
Somali official who spoke to
@BBCSomali
says #KDF is currently "bombing Somali forces with heavy artillery & mortars". No word from Gok
 
Wameshindwa kurekebishana nchi yao halafu wanaenda kuangaika kurekebishana nchi za wenyewe.

Jombaa, vikosi vya kijeshi vya Kenya vipo Somalia chini ya mandate ya AMISOM. Hiyo ni FACT, AMISOM ni mission ya AU, Umoja wa Afrika. Acha porojo.
 
Jombaa, vikosi vya kijeshi vya Kenya vipo Somalia chini ya mandate ya AMISOM. Hiyo ni FACT, AMISOM ni mission ya AU, Umoja wa Afrika. Acha porojo.
Kilicho wapeleka huko ni nini maana kila kukucha afadhali ya jana,
Jeshi lenu ni dhaifu na ndio maana limeshindwa kulinda mipaka yake...linaenda kuangaika na nchi ya wenyewe,
Mngeimarisha ulinzi wa nchi yenu ndipo muende,
Wakurupukaji wakubwa.
 
Jombaa, vikosi vya kijeshi vya Kenya vipo Somalia chini ya mandate ya AMISOM. Hiyo ni FACT, AMISOM ni mission ya AU, Umoja wa Afrika. Acha porojo.
Acha kupotosha watu, KDF sio miongoni mwa nchi zilizochaguliwa kwenda Somalia kuunda AMISOM KDF iliingia Somalia ili kuwazuia Alshabaab wasivuka mpaka kuingia Kenya na kuteka watalii, walipofika huko ikaonekana sio vizuri KDF kupigana ndani ya Somalia kivyake bila kuwa na mawasiliano na vikosi vya AMISOM, ndio wakajumlishwa, kule mlijipeleka wenyewe kwa ujinga wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happening now Fighting on the Kenya-Somalia border btwn Somalia army and JUBALAND mercenaries.
Ndio maana tangu siku ya kwanza mission ya Kenya ilikuwa ni kutengeneza Jamhuri ya Azaaniya(Jubaland) na tukafanikiwa. Kama buffer zone kutoka kwa hawa jamaa wapo tayari kuwaua wasomali wenzao kwasababu tu ni wa ukoo mwingine, wao wanaita Qabil kwa kisomali. Sheikh Madobe ambaye alifanikiwa kuwa rais wa Azaaniya kwa ushirikiano na Kenya na akawakomboa watu wake kutoka kwa dhulma za Mogadishu hawatawezana naye.
images%2B(29).jpg
Naona watu wanatupia tu pumba humu wakati hawaelewi chochote kuhusu 'dynamics' zinazohusika, wala siasa za Somaaliya.
 
Somalia Leader Threatens to Invade Nairobi With Army, Govt Fires Back
Sina uhakika kama ni busara kwa Kenya kuendelea kuweka majeshi yake ndani ya Somalia kwasababu zaidi ya kuongezeka kwa mashambulizi ya Alshabaab ndani ya Ardhi ya Kenya, sasa hivi uhusiano kati ya Somalia na Kenya unazidi kuharibika kila kukicha.

Ikumbukwe kwamba Somalia haina lolote la kupoteza kwasababu nchi yenyewe ilishasambaratika, sasa Somalia inatakuta kupata jirani mwengine ili wasambaratike pamoja, wameshindwa kuivuta Ethiopia, wameamua kufa na Kenya

Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya haiwezi angushwa na foreigners. Kama Kenya itaangushwa basi itaangushwa na Wakenya wenyewe kama vile ilifanyika 2007. Mtu yeyote kutoka nje hawezi kutufanya lolote.
 
Acha kupotosha watu, KDF sio miongoni mwa nchi zilizochaguliwa kwenda Somalia kuunda AMISOM KDF iliingia Somalia ili kuwazuia Alshabaab wasivuka mpaka kuingia Kenya na kuteka watalii, walipofika huko ikaonekana sio vizuri KDF kupigana ndani ya Somalia kivyake mawasiliano na vikosi vya AMISOM, ndio wakajumlishwa, kule mlijipeleka wenyewe kwa ujinga wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jombaa rudi tu kwenye zile mada zako za kumsifia Jiwe. Sasa kama Kenya ndio iliomba kujiunga na AMISOM mbona hawakukataa? 😀 Wakati hadi hela kutoka kwa AU huwa wanagawa kwa Kenya kila mwaka? AU ndio walitaka Kenya ijiunge na AMISOM ili kufanikisha vita vya kwa pamoja dhidi ya magaidi wa Al-Qaeda(Alshabaab). Alafu unataka kumaanisha kwamba hujui kwanini Kenya ilituma vikosi vyake vya kijeshi Somalia? Yaani unataka kumaanisha Rais Mwai Kibaki, na Raila, waliamka tu siku moja wakaamua acha tufike Somalia? 😀
 
Kenya haiwezi angushwa na foreigners. Kama Kenya itaangushwa basi itaangushwa na Wakenya wenyewe kama vile ilifanyika 2007. Mtu yeyote kutoka nje hawezi kutufanya lolote.
Sio kuanguka, ila kuivuruga kama ilivyo sasa, Kenya kwa hali ilivyo hivi sasa huko kaskazini mashariki ikiendelea kuna uwezekano mkubwa ukanda wote wa pwani ukamezwa na hatimaye nchi nzima ikawa kama kaskazini mashariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jombaa rudi tu kwenye zile mada zako za kumsifia Jiwe. Sasa kama Kenya ndio iliomba kujiunga na AMISOM mbona hawakukataa? 😀 Wakati hadi hela kutoka kwa AU huwa wanagawa kwa Kenya kila mwaka? AU ndio walitaka Kenya ijiunge na AMISOM ili kufanikisha vita vya kwa pamoja dhidi ya magaidi wa Al-Qaeda(Alshabaab). Alafu unataka kumaanisha kwamba hujui kwanini Kenya ilituma vikosi vyake vya kijeshi Somalia? Yaani unataka kumaanisha Rais Mwai Kibaki, na Raila, waliamka tu siku moja wakaamua acha tufike Somalia? 😀
Ni ngumu sana kufanya mazungumzo na watu wenye IQ ndogo
1)KDF walienda Kenya baada ya Ashabaab kuvuka mpaka mara kwa mara na kuteka watalii ili kujipatia pesa, hali hii ilianza kuathiri utalii wa Kenya.
2)KDF ilikwenda Somali ili kuwadhibiti Alshabaab wasisumbue Kenya, uamuzi wa KDF kwenda Somalia ni maamuzi ya Viongozi wa Kenya hayakuhusisha AU.
3)Walipofika Somalia walikuta vikosi vya AMISOM, kwasababu adui alikua mmoja, AU iliamua kuunganisha KDF na AMISOM ili kuwe na coordination chini ya Command moja kuepuka kuingiliana kati ya vikosi vya KDF na AMISOM.

Kenya ilijipeleka yenyewe Somalia, sio miongoni mwa nchi zilizochaguliwa na AU kuunda AMISOM, mngeweza kuweka majeshi yenu mpakani mwa Kenya na Somalia kuzuia Alshabaab kuvuka mpaka na kuwateka watalii, badala yake mliamua kujipeleka Kichwa kichwa kutokana na ukweli kuwa "Kenya has the worst military intelligence due to lack of experience"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
joto la jiwe, tumia ubongo wako ipasavyo ndio uelewe kwanini KDF na AMISOM pia wapo Somalia. 'Mandate' ya vikosi vyote Somalia sio kuwafuata tu alshabaab. Bali ni kurudisha 'order' ndani ya nchi hiyo ili kuwe na serikali imara, hatua ambayo itapunguza uwepo wa vikundi haramu kama alqaeda au alshabaab. Ndio maana tunawasaidia kwenye training ya majeshi yao polisi n.k. Utafataje ugaidi na itikadi kali za kidini kwa kulinda mipaka wakati 'radicalisation' inafanywa hadi mitandaoni? Mbona marekani hawakukomalia kwenye mipaka yao wakati hata hawana majirani ambao wanawapa hifadhi magaidi? Hizo ni dhana na fikra za kishamba kutoka kijijini. Kenya ikiingia Somalia meli zilikiwa zinatekwa baharini, sio watalii tu. Leo hii mji wa Kismayu una amani. Kuhusu Kenya kujiunga na AMISOM, soma habari hizi za request ya AU mwaka wa 2011. Cabinet approves AU request on Kenyan troops
 
Back
Top Bottom