Labda ana adenoids/nyama za puani,mshauriane kama vipi aende for check-up.Jaman nashindwa kulala yan anakoroma kama jenereta on to of dat mdomo uko waz afu analala na mgongo
nlienda kuomba ushauri kwa mmoja akaniambia wake yeye anakwaruza meno kama vile mbwa mwenye kucha ndefu anavyokwaruza tiles!
Yan akishaanza sifungi jicho mpaka morning plz help!
Labda ana adenoids/nyama za puani,mshauriane kama vipi aende for check-up.
Hujaelewa tu? Mbona wasio koroma wapo wengi?wapi tena mwaego!
shure i will concern this!
Essioner, ningekushauri utumie tu kiswahili maana hiki kiingereza chako kidogo kinaleta ukakasi. Ni ushauri tu lkn