Morgan Freeman😨😨 kile kibabu cha 82Djimon Hounsou(huyu jamaa huwa nawaza mikono yake ikinikamata) na Morgan Freeman.
Mi nampenda Angelina Jolie hasa ule mdomo wake,na mdada mwengine anaitwa Angelina Valentine,huyu wa pili ni noma sana ila ana mdomo mzuri kama wa Angelina Jolie..
I couldn't hold my pee n penis way better, everytime i saw her beautiful face [emoji23][emoji23][emoji23] from "Love Don't Cost a Thing", nilitamani niwe Nick Canon hata kwa week moja tu.
View attachment 1211348
Wayne kashabwaga, anakula chalii mmoja wa kuitwa poker.Huyu manzi ni mzuri sana sijui why nick canon alimwacha,siku hizi anakula lil wayne
Too “little” for my liking.Kuna muda unacheki muvi ni mbaya ila unabidi uicheki mwanzo mwisho kwa ajili tu umemuona mdada fulani humo.. To me I like Badass girl.. Wale wababe, Wana matendo ya kibabe applied in reality.
Kwnye list yangu naanza na haka kabinti Zendaya. Kama hujawahi kukaona basi kapo kwenye Spiderman Homecoming na Far from home.. kazuri ila kana kasoro moja.. (Sitaitaja) kama umeiona ruhusa kuitaja..
Pia kama kuna mceleb unaye mzimia mtupie picha zake
View attachment 1208643View attachment 1208644View attachment 1208645View attachment 1208646View attachment 1208649
Lupita ni “ladies and gentlemen”.Kuna kipindi walionekan sana, wapo na Lupita. Ktk pozi za shaka, maswali yakaanza.
Bond yupi? Daniel Craig? Usiwe umedata na macho yake yale
Namsubiri peponi huyoKwahiyo utampata lini..? Anazidi kuchacha