sna hasira yeyePunguza hasira sis hapa kuna wine "grunburger" ya SA karibu unywe.
Rose umenigusa sana coz mama yangu alisota kwa ajili yangu,,,lkn pia inawezekana hata mamanalia amesotewa na mama yake ni basi tu tabia haina dawa!
Jamani msameheni hii ni copy&paste kutoka India chunguzeni kiingereza chenyewe.
Rose........umenena dada,.amenipotezea mood kabysa:mad2::mad2::mad2:..watu wanafanya kaz day n nyt then anasema hvo?au umesahau behind the success of any man there is a woman?hata iwe ur mum..THINK