Some of the Differences between Men and Women

Rose umenigusa sana coz mama yangu alisota kwa ajili yangu,,,lkn pia inawezekana hata mamanalia amesotewa na mama yake ni basi tu tabia haina dawa!

uyu sjui kasomeshwa na kulelewa na shemej yake?
aakana adabu hata kdg sjui ndo wale wanaojifanyaga matawi na kukataa hali zao za asili na kujifanya matawi kumbe wa mwsho kulala wakwanza kuamka kwa shangazi mbagala?
 
Mh Do I need to respond to this thread?! .... Oh Fck I just did. :A S 112::A S 112:
 
Rose........umenena dada,.amenipotezea mood kabysa:mad2::mad2::mad2:..watu wanafanya kaz day n nyt then anasema hvo?au umesahau behind the success of any man there is a woman?hata iwe ur mum..THINK
 
Rose........umenena dada,.amenipotezea mood kabysa:mad2::mad2::mad2:..watu wanafanya kaz day n nyt then anasema hvo?au umesahau behind the success of any man there is a woman?hata iwe ur mum..THINK

Usisahau pia kuwa "behind every unsuccessful man there are many women".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…