Some Pictures of the Groom & Bride To Be, Mr & Mrs Joshua Nasari

Safi sana sioni pombe mezani kumbe dogo ni mpentecoste. Bravo Nassari.
 
Muke ya muyahudi umesoma tabora girls a level? coz nilisoma na ex mmoja wa max mzee wa chaidaz,anaitwa br.....plz nijibu twaweza kuwa classmates
 
Muke ya muyahudi umesoma tabora girls a level? coz nilisoma na ex mmoja wa max mzee wa chaidaz,anaitwa br.....plz nijibu twaweza kuwa classmates

Aah no plz sijasoma hapo ila namjua huyo nadhani lol tulikuwa wwngiii.mh ndo kilichonishnda aisee..mi nimesoma Marian plzz usiseme unanijuaa mamaaa
 
Aah no plz sijasoma hapo ila namjua huyo nadhani lol tulikuwa wwngiii.mh ndo kilichonishnda aisee..mi nimesoma Marian plzz usiseme unanijuaa mamaaa

Hahahahah nafahamu mlikuwa wengi the boy had his fun and now ameamua kusettle tumwombee,yale mambo yake yalee si rahisi kuacha kihivo bt hongera Joshua aka max nisiongee mengi.
 
Wkend hii ntaianzia mwenge kwa mama kamche kula mdudu then samak samak ya mliman city itahusika.

Hahahaaa...!!! Haya banah, mwenge hakuna biashara lakini, kitu makumbusho, walio wabishi wanakinukisha ubungo
 
Hahahahah nafahamu mlikuwa wengi the boy had his fun and now ameamua kusettle tumwombee,yale mambo yake yalee si rahisi kuacha kihivo bt hongera Joshua aka max nisiongee mengi.

Yaani mpaka aibu alivokuwa anatupanga..mh the Chiders lile group weh kweli tunyamaze tusije kufunguliwa mashtaka na muheshimiwa!!tumuombee ndoa idumu aisee hngera zake kanifurahsha mi nilidhani hato oa kamwee kumbee kila shetani na mbuyu wake mhh
 
Harusi ya muheshimwa Ibrahim Lipumba naye ni Lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…