HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
sasa hapa mnatuchanganya, mara unprotected sex is good for you, mara UKIMWI mwe!
Ipo research nimefanya inaonesha 'doggy style
ndio the best sex style haswa kwa kina mama lol'
Mwenyewe! :argue: (kidding)My dear una depression...hebu fuata ushauri wa kitaalamu uwe ok,lol.
Ipo research nimefanya inaonesha 'doggy style
ndio the best sex style haswa kwa kina mama lol'
sasa hapa mnatuchanganya, mara unprotected sex is good for you, mara UKIMWI mwe!
Duuuu, sijui nianzaje kuchangia, anyway hii ni study ambayo finding zake zinaweza labda kuwa ni za kweli. Lakini hapo nilipopigia mistari inaonyesha wazi kuwa mahusiano ya kingono yasiyotumia kinga husaidia sana kuondoa "depression" na hivyo ni kama method nzuri ya kupunguza "depression" kwa watu!
Wasiwasi wangu ni kuwa inaezekana tafiti imetupa solution ya kupunguza depression na wakati huo huo ikaturudisha tena kwenye unprotected sexual behaviours ambazo zitatudumbukiza kwenye dimbwi la gonjwa la UKIMWI na magongwa mengine yanayotokana na kujamiiana. Naona wazi tafiti inatofautiana na kampeni dhidi ya kutokomeza UKIMWI.
ngoja nami nije na ya kwangu, hypothesis ni kwamba "mwanaume anayehonga, anaenjoy sex zaidi ya yule asiye honga; kwani anachokihangaikia anakifurahia zaidi kuliko cha bure"
halafu seriously, nimesoma sehemu about chimpanzee behaviour, kwamba male wanawinda wanyama halafu wanatumia minofu kama hongo kwa she-chimps!
hiyo ni true
ilishafanyika
halafu sio nyama bana
hao chmps wanakwenda kutafuta ndizi
wakizipata wanamlisha she chimps halafu she chmps wanalainika
kinachofuata ni 'game' la kufa mtu lol
very true niliona bbc...
ngoja nami nije na ya kwangu, hypothesis ni kwamba "mwanaume anayehonga, anaenjoy sex zaidi ya yule asiye honga; kwani anachokihangaikia anakifurahia zaidi kuliko cha bure"
halafu seriously, nimesoma sehemu about chimpanzee behaviour, kwamba male wanawinda wanyama halafu wanatumia minofu kama hongo kwa she-chimps!
Wewe unahonga?
Wewe unahonga?
Kaunga, The Boss,Vin Diesel na wengineo, cha muhimu na cha kujiuliza kwenye hii research ni kuwa, je ni kweli wanandoa walio wengi hawana depression simply kwa sababu wanafanya unprotected sex compared na wale wasio na ndoa ambao wana videmu na vibuzi na hivyo kulazimika kutumia protected sex? :redface:
Kaunga, The Boss,Vin Diesel na wengineo, cha muhimu na cha kujiuliza kwenye hii research ni kuwa, je ni kweli wanandoa walio wengi hawana depression simply kwa sababu wanafanya unprotected sex compared na wale wasio na ndoa ambao wana videmu na vibuzi na hivyo kulazimika kutumia protected sex? :redface:
sio yeye,utafiti unasema...lol
Hivi kuna mwanaume asiehonga?
tofauti ni viwango tu
hata nikikupigia simu si inatumia pesa?
sasa hapo si nimetumia pesa kuongea na wewe?
Good one!
Hiyo si kuhonga bwana, hivi hujui kuna wanaume wanahongwa? Nenda love connect uone mabandiko ya kutafuta wamama wa kuwalea vijana!
Kuhonga inaanzia na trip ya visiwa vya madagascar au usheli sheli. LOL
Hiyo si kuhonga bwana, hivi hujui kuna wanaume wanahongwa? Nenda love connect uone mabandiko ya kutafuta wamama wa kuwalea vijana!
Kuhonga inaanzia na trip ya visiwa vya madagascar au usheli sheli. LOL
kumbe hata Kilwa sio kuhonga? lol
poor me