HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,567
Siku hizi ukisikia mtu amekula chumvi nyingi usifikirie umri pekee...kuna chumvi nyingine....
Khaaaa, we Vin Diesel leo umeamkeje aisee? Sasa unafikiri chumvi hiyo babu zetu walikuwa wakitumia? Si ubunifu wenu tu vijana wa siku hizi?!
I see!
NB: But, having an unprotected sex is clearly a risky proposition in todays world
kuhonga hakuna jinsia my dear....hata kureply post ni kuhonga,lol...
Sasa hapo mnaanza kuaharibu ladha na maana halisi ya kuhonga; tutaandamana aah! yaani hongo hata kumention tu. Khah!
...may be this "not with the one who love you and trustful"Not with the one you love and trust....
Siku hizi ukisikia mtu amekula chumvi nyingi usifikirie umri pekee...kuna chumvi nyingine....
mkuu mie natoa darsa tu jinsi watu wanaelezea mambo siku hizi usije ukaachwa na tafsiri mbali mbali...unaweza kuta kijana ana miaka 25 lakini amekula chumvi zaidi ya mzee wa miaka 90...lol
Mkuu kuna chumvi,chumvini,na chumvi chumvi....ukitazama mzizi wa neno ni chumvi hapo....hivyo vingine ni mbwembwe tu...Sasa hizo ndiyo chumvi nyingine?
Am signing out, loh!
Autoreply message from JF: HorsePower is offline ....Am signing out, loh!
Duuuu, sijui nianzaje kuchangia, anyway hii ni study ambayo finding zake zinaweza labda kuwa ni za kweli. Lakini hapo nilipopigia mistari inaonyesha wazi kuwa mahusiano ya kingono yasiyotumia kinga husaidia sana kuondoa "depression" na hivyo ni kama method nzuri ya kupunguza "depression" kwa watu!
Wasiwasi wangu ni kuwa inaezekana tafiti imetupa solution ya kupunguza depression na wakati huo huo ikaturudisha tena kwenye unprotected sexual behaviours ambazo zitatudumbukiza kwenye dimbwi la gonjwa la UKIMWI na magongwa mengine yanayotokana na kujamiiana. Naona wazi tafiti inatofautiana na kampeni dhidi ya kutokomeza UKIMWI.
mie sijaolewa ila naomba kuuliza kwani watu wa kwenye ndoa waga wanatumia kndom ama? dah kazi kweli asa dah hata sielewi ntarudi baadae
kuhonga hakuna jinsia my dear....hata kureply post ni kuhonga,lol...
Kaunga hivi huu mstari hua unamanisha nn?Mfano mdogo tu hapa:
[/FONT][/COLOR]Do you think that the ones who had unprotected sex
show fewer depressive symptoms because of the semen?
Hata kwa wanaume, chukua mmoja ambae ame-abstain,
na mwenzie who regularly gets some and compare their mood.
Binafsi naona kama wanajaribu kulazimisha hiyo semen.
Ona ingine hii: Could oral sex be a pregnant woman's best defense against morning sickness? | Mail Online
wanajaribu kutuaminisha kua oral sex (and swallowing)
inapunguza kichefuchefu kwa wanawake wajawazito.
Tukiachana na yoooote
Kuna ka ukweli! ! ! !
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha
You are ins.ane, basi kumbe nanihii ananihongaga bila ya mie kujua??!!!
Kazana kunihonga.....ngoja mwenyewe aje,lol...