Someni hapa kina dada...

Siku hizi ukisikia mtu amekula chumvi nyingi usifikirie umri pekee...kuna chumvi nyingine....

Khaaaa, we Vin Diesel leo umeamkeje aisee? Sasa unafikiri chumvi hiyo babu zetu walikuwa wakitumia? Si ubunifu wenu tu vijana wa siku hizi?!
 
Last edited by a moderator:
Khaaaa, we Vin Diesel leo umeamkeje aisee? Sasa unafikiri chumvi hiyo babu zetu walikuwa wakitumia? Si ubunifu wenu tu vijana wa siku hizi?!

mkuu mie natoa darsa tu jinsi watu wanaelezea mambo siku hizi usije ukaachwa na tafsiri mbali mbali...unaweza kuta kijana ana miaka 25 lakini amekula chumvi zaidi ya mzee wa miaka 90...lol
 
Sio kila utafiti wa kuuamini, unless uwe ni utafiti wako. Ku do without na haya magonjwa si tutaisha!
Hivi utafiti huo haujafanyika kwa wanandoa? (najua wengi ni kavu kavu)
 
Siku hizi ukisikia mtu amekula chumvi nyingi usifikirie umri pekee...kuna chumvi nyingine....

mkuu mie natoa darsa tu jinsi watu wanaelezea mambo siku hizi usije ukaachwa na tafsiri mbali mbali...unaweza kuta kijana ana miaka 25 lakini amekula chumvi zaidi ya mzee wa miaka 90...lol

Sasa hizo ndiyo chumvi nyingine?
Am signing out, loh!
 
Sasa hizo ndiyo chumvi nyingine?
Am signing out, loh!
Mkuu kuna chumvi,chumvini,na chumvi chumvi....ukitazama mzizi wa neno ni chumvi hapo....hivyo vingine ni mbwembwe tu...
 

mie sijaolewa ila naomba kuuliza kwani watu wa kwenye ndoa waga wanatumia kndom ama? dah kazi kweli asa dah hata sielewi ntarudi baadae
 
mie sijaolewa ila naomba kuuliza kwani watu wa kwenye ndoa waga wanatumia kndom ama? dah kazi kweli asa dah hata sielewi ntarudi baadae

Ndoa si kigezo cha kutumia au kutotumia....
 
Kaunga hivi huu mstari hua unamanisha nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…