Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo ilivyo kumbeScience sio masomo mkuu
Science ni namna gani unafanya mambo yako kila kukicha na vile unavyoyafanikisha
Sasa mtu anaweza kusoma historia ya sayansi ya yeye akaitwa mwana yasandi
Watu wameishia kukariri Zile principle of motion za Sir NewtonNi lini science imewahi kufundishwa hapa Tanzania??
Hapa Tanzania inafundishwa "historia ya science". Hakunaga science ndiyo hata vijiti vya meno tunanunua toka nje ya nchi.
Mnasoma Isac Newton aliwazaje mambo ya gravity kwa kuangalia apple limeanguka mtini😅Ni lini science imewahi kufundishwa hapa Tanzania??
Hapa Tanzania inafundishwa "historia ya science". Hakunaga science ndiyo hata vijiti vya meno tunanunua toka nje ya nchi.
Watoto wa wanyonge + science,watoto wa watawala +utawala mwishoSomeni mambo ya utawala acheni ushamba,
Hivi hiyo admission capacity ndiyo uwezo wa chuo kusajili kwa course husika au Mimi sijaelewa??!!Science sio masomo mkuu
Science ni namna gani unafanya mambo yako kila kukicha na vile unavyoyafanikisha
Sasa mtu anaweza kusoma historia ya sayansi ya yeye akaitwa mwana yasandi
huo kachukua kwa watu wa diplomaHivi hiyo admission capacity ndiyo uwezo wa chuo kusajili kwa course husika au Mimi sijaelewa??!!
Ndo ilivyo na vyuo vyenyewe ndo ivyo hapoHivi hiyo admission capacity ndiyo uwezo wa chuo kusajili kwa course husika au Mimi sijaelewa??!!
Nchi hiii hasa awamu ya jiwe kwenye suala la elimu ya juu kidato cha tano na cha sita na vyuo vikuu na vya kati pamoja na vile vya ufundi kuna usingizi mzitooo sana. Jk alijitahidi kuweka mazingira sawa watu binafsi kuwekeza JPM akaua mwendelezo huo kwa sababu za kudhibiti ubora na kutaka vyuo vya serikali ndio vifanye udahili akusanye mapato.Ngazi za msingi na Sekondari sawa ngazi za vyuo mpango upo au ? Mie naona kama ndoto za watoto kusoma wanachokipenda zinachezewa
View attachment 1849603View attachment 1849604View attachment 1849605View attachment 1849605View attachment 1849606View attachment 1849606View attachment 1849606
View attachment 1849607
Kama kozi gani?Someni mambo ya utawala acheni ushamba,
nime cheka saaana mkuuuuScience sio masomo mkuu
Science ni namna gani unafanya mambo yako kila kukicha na vile unavyoyafanikisha
Sasa mtu anaweza kusoma historia ya sayansi ya yeye akaitwa mwana sayansi
WAJE KUFANYA NINI??Ngoja waje...