Someone should be held accountable: Aweso or Top Manyota?

Someone should be held accountable: Aweso or Top Manyota?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kuweni na haruma basi! Hali ilivyo Dar es Salaam.
IMG_8498.jpeg
 
Mama yetu Samia katuharibia sana Nchi yetu.Nchi haikuwa na shida ya maji kama ilivyo Sasa lakini aliporithishwa tu matatizo lukuki ameyaongeza.
 
Tatizo siasa nyingi kuliko utendaji kazi.
Hii mcgi ina laana, maji tabu, umeme changamoto, just imagine na joto hili la dar huna umeme, huna maji.

2022 sijui ile, rais alikuja kuzindua mradi wa maji, mpaka hivi leo kigamboni hatujanywa tone la maji toka mradi ule.. Nahisi walimpiga za uso, pale wamerekebisha tank na miundombinu ya pale pale, kumbe mtaani mabomba hayajasambazwa.
 
Back
Top Bottom