Aweso alianza vizuri sana ila kwa sasa kwa kweli arekebishe hali ya upatikanaji wa maji jijini dar ,kuna shida kubwa.Kuweni na haruma basi! Hali ilivyo Dar es Salaam.
View attachment 3176929
Tumwombe sana Mungu awajaalie viongozi wa hii idara wapate matashi mema wa kutenda lililo jema ktk wananchi wa Nchi hii.Kuweni na haruma basi! Hali ilivyo Dar es Salaam.
View attachment 3176929
Halafu tuna reli ya kisasa iliyogharimu zaidi ya trillion 20 za mkopo.Kuweni na haruma basi! Hali ilivyo Dar es Salaam.
View attachment 3176929
Kuweni na haruma basi! Hali ilivyo Dar es Salaam.
View attachment 3176929