Sometimes nchi kuchukua wakimbizi linaweza kuwa jambo la hatari sana

Sometimes nchi kuchukua wakimbizi linaweza kuwa jambo la hatari sana

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Baada ya Waisraeli kupora na kuwafukuza Wapalestina kutoka kwenye makao yao wengi walikimbilia nchi ya Jordan. Jordan ni nchi ya wakazi wachache hivyo wakimbizi wakawa sehemu kubwa ya wakazi. Wakimbizi hawa wakawa wanaishambulia Israel kutoka Jordan huku wakimshinikiza Mfalme wa Jordan afanye mengi zaidi kusaidia harakati zao. Hata kuna kipindi walitaka kumpindua. Ndiyo sababu mojawapo iliyofanya Jordan wakatae kupelekewa wapalestina wa Gaza.

Wahutu waliofanya mauaji ya kimbari Rwanda walikimbilia Congo. Kitendo hicho kimechangia vurugu zilizoua wacongo zaidi ya 6m

Ulaya leo inachukua wakimbizi wengi kutoka Mashariki ya kati na Africa. Matokeo yake wanaifanya Ulaya ianze kukosa usalama.

Hata Wangoni walikuwa wakimbizi kutoka SA. Walivyokuja huku Afrika Mashariki na Kati waliua watu wengi sana kinyama.

Wakimbizi ni watu wa kudeal nao kwa makini sana.
 
Baada ya Waisraeli kupora na kuwafukuza Wapalestina kutoka kwenye makao yao wengi walikimbilia nchi ya Jordan. Jordan ni nchi ya wakazi wachache hivyo wakimbizi wakawa sehemu kubwa ya wakazi. Wakimbizi hawa wakawa wanaishambulia Israel kutoka Jordan huku wakimshinikiza Mfalme wa Jordan afanye mengi zaidi kusaidia harakati zao. Hata kuna kipindi walitaka kumpindua. Ndiyo sababu mojawapo iliyofanya Jordan wakatae kupelekewa wapalestina wa Gaza.

Wahutu waliofanya mauaji ya kimbari Rwanda walikimbilia Congo. Kitendo hicho kimechangia vurugu zilizoua wacongo zaidi ya 6m

Ulaya leo inachukua wakimbizi wengi kutoka Mashariki ya kati na Africa. Matokeo yake wanaifanya Ulaya ianze kukosa usalama.

Hata Wangoni walikuwa wakimbizi kutoka SA. Walivyokuja huku Afrika Mashariki na Kati waliua watu wengi sana kinyama.

Wakimbizi ni watu wa kudeal nao kwa makini sana.
Wanguni wale wa enzi za Shaka Zulu nadhani sampuli zao zilishatoweka kitambo duniani. hawa wa kwetu wa Songea leo hawana tofauti na wapogolo wa mahenge. waoga na watu wa dini sana.
 
Wanguni wale wa enzi za Shaka Zulu nadhani sampuli zao zilishatoweka kitambo duniani. hawa wa kwetu wa Songea leo hawana tofauti na wapogolo wa mahenge. waoga na watu wa dini sana.
Hawa wa sasa ni wandendeule tu. Umenikumbusha hapo. Kwenye Biblia Waisrael walimkimbia Ramesses II. Walipofika Kaanani walisababisha mauaji ya kutisha kwa wakaanani.
 
Na hichi ndicho kitakacho tugharimu siku Rwanda na Uganda wakitaka kuchukua Kagera. Kwa sasa tunaona hawawezi ila jamaa wamepenya sehemu nyeti mno Kwa taifa hili. Ule mkao,Kwa waliowahi kumskia mchungaji Mtikila,alifanya uchunguzi na kubaini njama Kali sana za Kagame. Kwenye secret agencies wanajua hiki ndicho kilichopelekea kifo chake, mchungaji. Hebu jaribu kuangalia vizur Congo anavyomegwa. Very strategically. Angalia Uganda anavyoingia Congo,so strategic. It's not a coincidence eti wameingia Kwa nguvu zote Kwa pamoja. It's Not. It's a plan on paper that's now materializing.

Wahamiaji uko ulaya wanasababisha mayhem na Kuna mashirika ya kiatabu yanayosponsa ule uhamiaji maana washaratibu miaka 20 ijayo ulaya isikalike. Wakifika huko ni kuona wake wengi na kuzaa watoto wa kutosha ili ku-counter attack christian numbers. Ndo maana unaskia uamsho wa kiislamu huko. Well calculated moves by Asians.

Rwanda hajakurupuka kuingia Congo,la hasha. Ashajua jeshi la DRC limesheheni Luteni wa kutosha wenye asili ya Rwanda na maafisa wengine wengi kwenye vyombo vya maamuzi. Same here, we are in a very big trouble especially baada ya kuingiza politics kwenye issues that concerns national security.

Hawa wanyarwanda Wana mpaka vikao vyao kwenye mabar na mahoteli. Sasa hivi wanatumia nguvu ku-assimilate culture Yao ya uvaaji na nyimbo zao kwetu hususan kwenye maharusi na hata baadhi ya kwaya. Mfano Kwa asiyejua uvaaji wao,angalia kwaya ya mamajusi,kibao kinaitwa "naona fahari". Kagame alianzisha operation za kufunga makanisa Rwanda na sisi tukamsifu ila Kwa wanaojua,alilenga sana sana wahubiri kutoka mataifa mengine ili kuondoa watu ambao wanaleta maadili ya nje.

Guys, IT'S TIME WE USE OUR TONGUES TO COUNT OUR TEETH COZ WE'VE ALREADY SWALLOWED A COCONUT KERNEL AND NOW, MUSEVENI AND KAGAME ARE WAITING US IN THE TOILET TO SEE WHAT WILL COME OUT OF OUR ANUS.

NB: ANUS IS AN ABBREVIATION FOR AFRICANS NEVER USE SPOON 😂😂😂😂MY MODS
 
Back
Top Bottom