Somo kwa serikali: Mtaala wa ‘The Law of Contract’ unapwaya

Mayor Quimby

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2021
Posts
4,950
Reaction score
10,977
Nimesikiliza wanasheria wengi wakidadavua huo mkataba, hawana viwango wa kuingia mikataba kwa niaba ya serikali.

Kwa kuanzia tu hakuna mkataba usiokuwa na stabilisation clause. Hakuna mkataba wa kimataifa usiokuwa na sehemu neutral ya kutatua mgogoro; hiko kitu hakipo. Wengi hawajui processes za ADR (alternative dispute resolution, hadi kufikia arbitration).

Wengi hawajui arbitration inaongozwa na industry experts in neutral area na arguments hazitumii sheria za nchi ambayo arbitration inasikilizwa isipokuwa contract terms (either expressed or implied by national laws za nchi iliyoingia mkataba). Lengo la arbitration ni kutafuta neutral ground tu ya kutafsiri hayo mambo,

Wengi hawajui lengo la stabilisation clause ni kulinda mkataba na mabadiliko ya baadae yaliyovutia mazingira ya uwekezaji kufanyika. Wengi hawajui time decision ya mkataba inategemea muda wa ROI na nafasi ya mwekezaji kuvuna.

Ni kwamba hawa watu wana uelewa mdogo sana wa law of contract; wakati kwa wenzetu ni module tu kwenye masomo ya biashara.

It’s just shameful kusoma uwezo mdogo wa uelewa wa wasomi wetu on how FDI contracts works.

Serious, inasikitisha jamii kuwa na uwezo mdogo hivyo.
 
Unaijua Law of Contract kumshinda Lissu,Shivji na Kabudi?
 
Unaijua Law of Contract kumshinda Lissu,Shivji na Kabudi?
Hao uliowataja ndio wana uwezo mdogo kweli.

Mkataba wa biashara consideration ni finance. Hawana hizo abc za hayo mambo hao watu.
 
Kuna bwana kasha wahi sema kwamba wanasheria wengi wa serikali ni goigoi na hii ni kutokana na ukweli kuwa wanapo shindwa makesi hukimbilia kubadilisha Sheria badala ya kukata rufaa,sasa wakikutana na wanasheria nguri kutoka nje ambao hawa tegemei mfumo kuwabeba Wana shindwa.
 
Nimesikiliza wanasheria wengi wakidadavua huo mkataba, hawana viwango wa kuingia mikataba kwa niaba ya serikali.
Rais Paul Kagame aliwahi kusema "Hupaswi kumtuhumu mtu kwanza, na kisha umuambie ajitetee. Ila unachotakiwa kufanya ni kuthibitisha kwanza tuhuma yako dhidi yake", Mwisho wa Nukuu.

Hivyo Mkuu, tunakuomba na wewe UDADAVUE huo Mkataba kwanza ili nasisi tukusikie. Kisha sasa ndio tujue hao wanasheria wengine ni hawana Viwango.

Karibu, udadavue.
 
Wanajua vizuri sana sheria ya mikataba ila mkataba uliandaliwa dubai kama kawaida wakaletewa waka saini
 
Kwa
Hakika umezungumza kitu cha msingi sana!!!

Hivi kwa nchi kama ya kwetu kuna MWEKEZAJI GANI ATAKUBALI KUJA KUWEKEZA BILLIONS OF MONEY halafu umwambie ikitokea mgogoro wa kiuwekezaji arbitration ifanyike kwenye VYOMBO vyetu vya mahakama ambazo judges wanasikiliza Mkubwa anasemaje au atafurahishwa na nini????

Au unazungzia kuweka UKOMO kwenye IGA wakati Mikataba ya uwekezaji hajajadiliana na kuafikiana na haijulikani itakuwa ya muda gani!!!

WATANZANIA wengi ni washabiki na sii wajuvi au kuwa tayari kufuatilia maomb kwa undani...

Tungejikita kuchambua vipengele na kutoa maoni kuliko kuhanikizana KUWA NCHI INAUZWA
 

Tatizo Ma-Bush Lawyer wengi saana TZ, wengi ni vihiyooo....wanajua kusimia kesi za wizi wa kuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…