Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Dawa ya kuondoa madoa kwenye nguo
MALIGHAFI
-Chloride acid(cassium hyperchlorite) robo kilo
-maji masafi lita10
-ndoo au pipa
-mwiko mrefu au mti mnene wa kukorogea
JINSI YA KUTENGENEZA
-andaa ndoo au pipa lako hakikisha ni safi na kavu
-weka maji Lita 10 kwenye ndoo au pipa lako
-weka chloride acid(cassium hyperchlorite)
-koroga kwa dakika 15 kisha acha itulie kwa muda wa masaa 8
-baada ya hapo utaona imejitenga uchafu kama jivu utakua chini maji yatakua juu
-engua maji juu ya juu ambayo ndio dawa ya madoa yenyewe pakia na ukauze
Nimeona tushirikishane vile ninavyovijua...najua kwa namna moja au nyingine nitakua nimesaidia.
Kama kuna sehemu haujaelewa kua huru kuuliza
Niwatakie mchana mwema
MALIGHAFI
-Chloride acid(cassium hyperchlorite) robo kilo
-maji masafi lita10
-ndoo au pipa
-mwiko mrefu au mti mnene wa kukorogea
JINSI YA KUTENGENEZA
-andaa ndoo au pipa lako hakikisha ni safi na kavu
-weka maji Lita 10 kwenye ndoo au pipa lako
-weka chloride acid(cassium hyperchlorite)
-koroga kwa dakika 15 kisha acha itulie kwa muda wa masaa 8
-baada ya hapo utaona imejitenga uchafu kama jivu utakua chini maji yatakua juu
-engua maji juu ya juu ambayo ndio dawa ya madoa yenyewe pakia na ukauze
Nimeona tushirikishane vile ninavyovijua...najua kwa namna moja au nyingine nitakua nimesaidia.
Kama kuna sehemu haujaelewa kua huru kuuliza
Niwatakie mchana mwema