Somo la History Advance

kaesa

Member
Joined
May 28, 2015
Posts
22
Reaction score
0
Msaada, Msaada, Msaada

Ni kuhusu mada gani ni muhimu kusoma kwenye somo la History Advance?
 
Mada muhimu za kusom history advance ya kwanz ni 1.Origins and development of modern africa states ,kwnye hii mada kuna topic ndogondogo 8 mada ya pili 2. Africa in world history up to 1945 kweny hii topic kuna mada ndogondogo 6 , alafu topic ya tatu 3.Major issues in world history since 1945 kweny hii topic kuna mada ndogondogo 9 . Zote n muhimu kusom kwa sababu znategemean.
 
History 1 kuna Pre colinial Africa sociaty 2 Africa and Eurpe in 15centty 3 Black pple in the new world 4 External forc and rise of Africa nationalian duh kwa ufup hisrory 1 kuna topic 7 history 2 nane usidanganywe
 

sylibus ya zaman hyoooo
 
Msaada, Msaada, Msaada

Ni kuhusu mada gani ni muhimu kusoma kwenye somo la History Advance?
Mada zote ni muhimu mdau,maana hist ya advance imebadilika,pepa one ina maswali kumi na pepa tu ina maswali kumi.Sasa basi katika hayo maswali kumi kumi kwa kila pepa utapaswa kujibu maswali matano matano kwa kila pepa.Na kila pepa ina sections 3 yaan A,B na C,hapo sasa utapaswa kujibu maswali mawili section A,maswali mawili sectiob B na swali moja sectiob C,na section A ina topic zake,B ina zake ila C ina zake pia,wewe unapaswa kuwa competent topic zote.
 
sylibus ya zaman hyoooo

Tena wawe makini,kuna mpya iliyoanza kutumika 2011 na format ya NECTA kuanzia 2011 ipo mashuleni,now pepa two imechanganywa na some topics za pepa III ina maana kwa sasa hakuna history III,
 
History 1 kuna Pre colinial Africa sociaty 2 Africa and Eurpe in 15centty 3 Black pple in the new world 4 External forc and rise of Africa nationalian duh kwa ufup hisrory 1 kuna topic 7 history 2 nane usidanganywe

sahihi mkuu.....
 
 

Huo mtaala gan mbna hamna topic km hizo
 
Inaweza ikawa sylibus ya zaman bt inawez ikawa na umuhimu wake hata hizo topics n za form 5 only and asant kwa kunirekebisha
 

Nimekuekewa mkuuu
 
Ok nmewawlewen wasomi wangu...na kipi ni kitabu au mtunzi mzur wa history books kwa advnce
 
Kama unajua 2pe jibu bhana arch
 
Last edited by a moderator:
Hasa hyo Mwl kato n m2nzi au ni nani yy??
 
hii ndio shida ya kusomea mitihani, dogo komaa soma topic zote ni muhimu ndio maana ziokawekwa kwenye mtaala. tatizo mnapenda sana maisha ya shortcut
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…