KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 875
Katiba ya anJamhuri ya muungano ibara ya 1(3) Inasomeka hivi:
Jamuhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaaa,isiyokuwa na dini,yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa:
NB:Chama cha CUF kilichoungana na CCM kule Zanzibar kinafuata mfumo wa Kiliberali unaotambua ndoa za Jinsia Moja
Nakumbuka Miaka ya Nyuma sisi tulio wa zamani kidogo tunakumbuka juu ya Mtazamo wa Nyerere aliye hubiri siasa ya ujamaa na kujitegemea ambapo alilenga kuwekeza katika Kilimo ambacho ni uti wa Mgongo wa Tanzania.
Nyerere alisema siasa ni Kilimo na Somo la Siasa liliwekewa Mkazo mkubwa na Shule ya Kibaha ilikuwa Maalumu kwa Combination ya(Chemestry, Biology & Agriculture ( CBA) na Wahitimu wote walijiunga na Chuo Kikuu SUA na wataalam wa Kilimo walipatikana.Kufauatia hili hadi leo unaweza kumuona Kikwete akibaki na mtazamo huo wa kusema KILIMO KWANZA huku akitofautiana na Lowassa .
Wakati hayo yakijili NECTA walifuta Somo la Kilimo wakati Nyerere yupo hai na CCM bado wana amini katika Kilimo Kwanza na hakuna aliyelalamika!!!
Mimi nimesituka sana baada ya kusikia kuwa Waislamu ambao wengi ni CCM wapo Diamond Jublee wanajadili Sababu za NECTA kufuta somo la Islamic lakini hawajadili NECTA kufuta somo la Kilimo ambalo ni Sera ya Mwenyekiti wa Chama!!!
Jamuhuri ya Muungano ni nchi ya kidemokrasia na ya kijamaaa,isiyokuwa na dini,yenye kufuata mfumo wa vyama vingi vya siasa:
NB:Chama cha CUF kilichoungana na CCM kule Zanzibar kinafuata mfumo wa Kiliberali unaotambua ndoa za Jinsia Moja
Nakumbuka Miaka ya Nyuma sisi tulio wa zamani kidogo tunakumbuka juu ya Mtazamo wa Nyerere aliye hubiri siasa ya ujamaa na kujitegemea ambapo alilenga kuwekeza katika Kilimo ambacho ni uti wa Mgongo wa Tanzania.
Nyerere alisema siasa ni Kilimo na Somo la Siasa liliwekewa Mkazo mkubwa na Shule ya Kibaha ilikuwa Maalumu kwa Combination ya(Chemestry, Biology & Agriculture ( CBA) na Wahitimu wote walijiunga na Chuo Kikuu SUA na wataalam wa Kilimo walipatikana.Kufauatia hili hadi leo unaweza kumuona Kikwete akibaki na mtazamo huo wa kusema KILIMO KWANZA huku akitofautiana na Lowassa .
Wakati hayo yakijili NECTA walifuta Somo la Kilimo wakati Nyerere yupo hai na CCM bado wana amini katika Kilimo Kwanza na hakuna aliyelalamika!!!
Mimi nimesituka sana baada ya kusikia kuwa Waislamu ambao wengi ni CCM wapo Diamond Jublee wanajadili Sababu za NECTA kufuta somo la Islamic lakini hawajadili NECTA kufuta somo la Kilimo ambalo ni Sera ya Mwenyekiti wa Chama!!!