Songa ndiye emcee bora tamaduni music

Watasikika vp wakati wanafanya mziki wa kihuni na wengi wao vijana wa TAMADUNI music ni wahuni!
Mmh...
Sio kweli mkuu...
Hivi ushawahi kumsikiliza ONE THE INCREDIBLE...
sema kuna muda inatokea wanaingiza maneno MAGUMU kidogo kwenye mistari yao (hip-hop ndivyo ilivyo)...
Nafikiri hiyo ndio sababu inayokufanya uone hawa watu wanafanya mziki wa kihuni..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…