B British economist Senior Member Joined Jul 14, 2013 Posts 104 Reaction score 14 Sep 15, 2013 #1 jamani kwa waboy wote mnaosoma hii thread TUPIA TUPIA TUKIO USILOLISAHAU WAKATI UKIWA BOYS
B British economist Senior Member Joined Jul 14, 2013 Posts 104 Reaction score 14 Sep 15, 2013 Thread starter #2 kuchomewa simu tukiwa form dala
Mpigamsuli JF-Expert Member Joined May 24, 2012 Posts 3,885 Reaction score 582 Sep 15, 2013 #3 Hii si ndio zile shule ambazo hata mwenye iii.25 anasoma okay endeleeni
Nebby JF-Expert Member Joined Dec 10, 2012 Posts 222 Reaction score 46 Sep 15, 2013 #4 Nakumbuka tulivyokuwa tunawazengea Tamsala
Nebby JF-Expert Member Joined Dec 10, 2012 Posts 222 Reaction score 46 Sep 15, 2013 #5 Mayao je mnayakumbuka? Na masuala ya ulokono je?
L Lugano5 R I P Joined Jul 15, 2010 Posts 4,520 Reaction score 757 Sep 15, 2013 #6 Vipaji ndo maskan yake
S SHIMBONONI Senior Member Joined Sep 17, 2011 Posts 112 Reaction score 87 Sep 15, 2013 #7 Dah Box 2 "Songea shule ya sekondari ni shule ya wavulana twaipenda sna"! Nimekumbuka maneno hayo machache kwny wimbo wa shule! Vp mayao na watoto wa Mzee Kipande wapo? Hizo ndo zetu 1987/89!
Dah Box 2 "Songea shule ya sekondari ni shule ya wavulana twaipenda sna"! Nimekumbuka maneno hayo machache kwny wimbo wa shule! Vp mayao na watoto wa Mzee Kipande wapo? Hizo ndo zetu 1987/89!
k'bet New Member Joined May 13, 2013 Posts 4 Reaction score 1 Sep 15, 2013 #8 dah nakumbuka hiyo ishu ya kuchomewa simu lakn chanzo kikubwa na dogo ponela na mtamike chini ya undertaker ' sweke ' hatar sn..
dah nakumbuka hiyo ishu ya kuchomewa simu lakn chanzo kikubwa na dogo ponela na mtamike chini ya undertaker ' sweke ' hatar sn..
Jcp Member Joined Sep 7, 2013 Posts 32 Reaction score 1 Sep 15, 2013 #9 Dah namkumbuka marehem MTAMIKE, alisha wahi kunipa adhabu ya kufagia barabara,