Songea mbona haibadiliki? Kuna tatizo gani na mmekuwa na Mawaziri toka miaka ya 1960?

Namtumbo sio tu haina maendeleo ya vitu, hadi mademu hakuna, ni wilaya ya ajabu sana hakuna wasichana/ mabinti ,kuna wamama na wazee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Eti mwenzangu wanaumia,kama vile maghorofa ya kariakoo wanamiriki wao,loooooh[emoji23]

Kumbe wanaishi buza[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanachekesha mnoooo.
 
2025 songea na wilaya zote huku

Kura zote kwa ccm[emoji123],


Muendelee kukandamizwa huko mikoani kwenu,

Tunahakikisha unga mtanunua kilo sh,5000 na maharage kilo sh,8000

Hatunaga stress,tumeridhika na songea yetu.
Watuacheeeeeee na Songea yetuu, tumeipenda wenyewe wenyeji.
 
Songea Mjini ukitaka upate refreshment utembee mida ya jioni uwe na usafiri. Kama ulifika Bombambili ukakaa Hapo Hapo utasema mji mbaya. Piga Route kutoka Shule ya Tanga,Msamala,Bombambili,Matarawe,Mjini,SeedFarm, Ruhuwiko
Msamala ushuani huku, weuweeeeeeeh!!!!
 
Ohooo WiFi tena, Kaka yako si atakatika kiuno sana

Mwambie awe makini na watu wa Songea na Mtwara, kiuno wanazungusha watu wa huko kama feni nasikia

Kiuno hakina spea Madukani awe makini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Nilikosea sikuwauliza wenyeji
 
Yote hiyo ni kusini,
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimecheka, yeye hana exposure alafu anakosoa
Uzuri wa humu hatujuani, hivyo unaweza kuandika chochote, ukamsha mtu hata kama humfahamu, eti sina Exposure una evidence gani huku ukiwa hunifahamu.
Mimi sijakataa kinachotamkwa, yaani Mtwara, nimekataa alichoandika N'twara, na ipo kwa watu wa kigoma wanatamka Mutu, badala Mtu, wakurya Uchi, badala Uji, Wachaga, Penye herufi L, wao huitamka R, Wasukuma alikwendaga, badala ya Alikula.

Ila hao wote, Kwenye maandishi, hayaathiliwi, na mother type.
 
Sasa ushasema wasomi..halafu wasomi hao washamba[emoji23]
Mbona unajichanganya mwenyew...

Mtu aliyesoma si atakuwa anajua vitu vingi kuliko hasiye...sasa atakuwaje mshamba..

Una chuki zako wala huna hoja
Kinyume cha Ushamba ni Usomi au Ujanja naomba kujua hapa, maana huwa nasikia watu wakisema, wajanja wa mjini hao. lakini wanaosifiwa ujanja siyo kwamba ni msomi.
 
Na bado unakuta kuanzia vitoto hadi watu wazima mnaavitambi na kunenepeana kama manguruwe kutembea hamuwezi [emoji16][emoji16]..

Hovyo kabisa nyie ndio Ummy anasema mumefilisi Bima ya Afya na magonjwa yenu ya ulafi.
Tulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…