Songwe: Aliyehitimu Kidato cha nne anywa sumu kwa kupata ufaulu wa daraja la nne

Songwe: Aliyehitimu Kidato cha nne anywa sumu kwa kupata ufaulu wa daraja la nne

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Michael Aroni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata Daraja la IV la alama 26 katika matokeo ya Kidato cha 4 yalitolewa jana

Michael amehitimu Shule ya Sekondari St. Agrey na alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la kwanza ila matarajio yake hayakutimia

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Dkt. Ahmed Ramadhan amesema Mgonjwa huyo amepatiwa matibabu na sasa anaendelea vizuri
 
Hakuwa na dalili za kujinyonga?
Michael Aroni (20) Mkazi wa Kijiji Cha Ihanda amenusurika kifo baada ya kunywa sumu kufuatia kupata Daraja la IV la alama 26 katika matokeo ya Kidato cha 4 yalitolewa jana

Michael amehitimu Shule ya Sekondari St. Agrey na alitarajia kupata ufaulu wa Daraja la kwanza ila matarajio yake hayakutimia

Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Dkt. Ahmed Ramadhan amesema Mgonjwa huyo amepatiwa matibabu na sasa anaendelea vizuri

Jr[emoji769]
 
hapo ulianza la 1 na miaka 3 kama sitti mtemvu nini
Acha kuandika pumba ukianza la kwanza na miaka 6 unamaliza la Saba na miaka12 unaanza form one na miaka 13 unamaliza form four na miaka16 form five unaanza na miaka 17 unamaliza form six na miaka 20
 
Back
Top Bottom