Songwe: Baba atuhumiwa kumbaka mtoto wake

Songwe: Baba atuhumiwa kumbaka mtoto wake

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limemkamata Mkazi wa Ichenjezya Wilayani Mbozi kwa tuhuma za kumbaka Mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 15.

RPC wa Songwe, Theopista Mallya amesema Baba huyo alitaka kufanya tukio hilo usiku wa manane ambapo aliingia kwenye chumba anacholala Mtoto huyo ndipo Mtoto huyo alipopiga kelele na Mama yake aliposikia na kufika akamkuta Mumewe anatoka chumbani kwa Mtoto wao.

"Baada ya kuingia chumbani Mtoto alimwambia anaumwa lakini yeye akamlazimisha ndipo Mtoto alipiga kelele mpaka Mama yake alipotoka chumbani na kwenda chumba cha Mtoto huyo"

"Baada ya Mtoto huyo kuhojiwa amesema Baba huyo ambaye ni Mlinzi katika moja ya Shule amekuwa akimfanyia kitendo hicho Mtoto huyo mara kwa mara wakati akimpelekea chakula kwenye lindo"

RPC amesema taratibu za kumfikisha Baba huyo kwenye vyombo vya sheria zinaendelea huku akitoa wito kwa Watu wenye tabia za kufanya vitendo hivyo kuacha mara moja.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limemkamata Mkazi wa Ichenjezya Wilayani Mbozi kwa tuhuma za kumbaka Mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 15.

RPC wa Songwe, Theopista Mallya amesema Baba huyo alitaka kufanya tukio hilo usiku wa manane ambapo aliingia kwenye chumba anacholala Mtoto huyo ndipo Mtoto huyo alipopiga kelele na Mama yake aliposikia na kufika akamkuta Mumewe anatoka chumbani kwa Mtoto wao.

"Baada ya kuingia chumbani Mtoto alimwambia anaumwa lakini yeye akamlazimisha ndipo Mtoto alipiga kelele mpaka Mama yake alipotoka chumbani na kwenda chumba cha Mtoto huyo"

"Baada ya Mtoto huyo kuhojiwa amesema Baba huyo ambaye ni Mlinzi katika moja ya Shule amekuwa akimfanyia kitendo hicho Mtoto huyo mara kwa mara wakati akimpelekea chakula kwenye lindo"

RPC amesema taratibu za kumfikisha Baba huyo kwenye vyombo vya sheria zinaendelea huku akitoa wito kwa Watu wenye tabia za kufanya vitendo hivyo kuacha mara moja.
Mhhh
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limemkamata Mkazi wa Ichenjezya Wilayani Mbozi kwa tuhuma za kumbaka Mtoto wake wa kumzaa mwenye umri wa miaka 15.

RPC wa Songwe, Theopista Mallya amesema Baba huyo alitaka kufanya tukio hilo usiku wa manane ambapo aliingia kwenye chumba anacholala Mtoto huyo ndipo Mtoto huyo alipopiga kelele na Mama yake aliposikia na kufika akamkuta Mumewe anatoka chumbani kwa Mtoto wao.

"Baada ya kuingia chumbani Mtoto alimwambia anaumwa lakini yeye akamlazimisha ndipo Mtoto alipiga kelele mpaka Mama yake alipotoka chumbani na kwenda chumba cha Mtoto huyo"

"Baada ya Mtoto huyo kuhojiwa amesema Baba huyo ambaye ni Mlinzi katika moja ya Shule amekuwa akimfanyia kitendo hicho Mtoto huyo mara kwa mara wakati akimpelekea chakula kwenye lindo"

RPC amesema taratibu za kumfikisha Baba huyo kwenye vyombo vya sheria zinaendelea huku akitoa wito kwa Watu wenye tabia za kufanya vitendo hivyo kuacha mara moja.
Uzi huu auone@LucasMwashambwa na autolee ufafanuzi bila kuanza na neno..."Ndugu zangu"...!
 
Hivi wanaume huwa mna minyege ya ajabu kiasi hiki?
 
[emoji38] huyo sio nyege za kawaida.. Kumbuka alimwacha mkewe chumbani, akamfuata binti! Kwahyo siku hzi nyege zina

Jamaa liliona mke keshakua mkavu, ziwa limelala likaona likafanye ujinga kwa mwanae wa kuzaa
 
Hapo utakuta mke anataka kumpoteza mume amiliki mali zote. Utata anadai anafanyiwa mara kwa mara akimpelekea chakula lindoni huko hapigi kelele ila nyumbani kapiga!
 
Back
Top Bottom