Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mkoa wa Songwe ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania yenye postikodi namba 54100 ukiwa umemegwa kutoka ule wa Mbeya mwaka 2016.
Jina la mkoa limetokana na lile la mto Songwe. Makao makuu yako Vwawa.
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Songwe ni watu 1,344,687; wanaume 643,679 na wanawake 701,008.
Mkoa wa Songwe una majimbo sita (6) ya uchaguzi ambapo Jimbo la Mbozi linaongoza kwa kuwa na watu wengi (269,896) likifuatiwa na Jimbo la Momba (watu 259,781). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Jimbo la Ileje ambalo lina watu 125,869.
Orodha ya majimbo pamoja na mchanganuo wa idadi ya watu
Jimbo la Momba
Ni kweli kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 nchini Tanzania ulileta mjadala mkubwa, hususan kuhusu hali ya demokrasia na nafasi ya vyama vya upinzani. Mkoa wa Songwe, kama ulivyoainisha, ulikuwa na majimbo yote sita yakichukuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), huku baadhi ya wagombea wakipita bila kupingwa.
Katika jimbo la Ileje, Eng. Msongwe Godfrey Kasekenya alitangazwa mshindi bila kupingwa.
Songwe - MULOGO PHILIPO AUGUSTINO naye alipita bila kupingwa
Katika majimbo kama Vwawa na Tunduma, kulikuwa na tofauti kubwa ya kura kati ya wagombea wa CCM na wale wa upinzani.
Vwawa
Japhet Hasunga (CCM) - Kura 38,226
Fanuel Mkisi (CHADEMA) - Kura 17,157
Tunduma -
David Silinde (CCM) - Kura 43,276
Frank Mwakajoka (CCM) - kura 12,433
Matukio kuelekea uchaguzi mkuu 2025
JANUARY
FEBRUARI
Jina la mkoa limetokana na lile la mto Songwe. Makao makuu yako Vwawa.
Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Songwe ni watu 1,344,687; wanaume 643,679 na wanawake 701,008.
Mkoa wa Songwe una majimbo sita (6) ya uchaguzi ambapo Jimbo la Mbozi linaongoza kwa kuwa na watu wengi (269,896) likifuatiwa na Jimbo la Momba (watu 259,781). Jimbo lenye idadi ndogo ya watu ni Jimbo la Ileje ambalo lina watu 125,869.
Orodha ya majimbo pamoja na mchanganuo wa idadi ya watu
Jimbo la Momba
- Jumla ya watu 259,781 ambapo Wanaume ni 124,524 na Wanawake 135,257
- Jumla ya watu 219,309, ambapo Wanaume ni 104,342 na Wanawake 114,967
- Jumla ya watu 229,129 , ambapo Wanaume ni 114,020 na Wanawake 115,109
- Jumla ya watu 240,703, ambapo Wanaume ni 113,843 na Wanawake 126,860
- Jumla ya watu 269,896, ambapo Wanaume ni 127,793 na Wanawake 142,103
- Jumla ya watu 125,869, ambapo Wanaume ni 59,157 na Wanawake 66,712
- Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
- Orodha ya CV za Wabunge kwa mwaka 2020 - 2025 kutoka kila mkoa Tanzania
Ni kweli kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 nchini Tanzania ulileta mjadala mkubwa, hususan kuhusu hali ya demokrasia na nafasi ya vyama vya upinzani. Mkoa wa Songwe, kama ulivyoainisha, ulikuwa na majimbo yote sita yakichukuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), huku baadhi ya wagombea wakipita bila kupingwa.
Katika jimbo la Ileje, Eng. Msongwe Godfrey Kasekenya alitangazwa mshindi bila kupingwa.
Songwe - MULOGO PHILIPO AUGUSTINO naye alipita bila kupingwa
Katika majimbo kama Vwawa na Tunduma, kulikuwa na tofauti kubwa ya kura kati ya wagombea wa CCM na wale wa upinzani.
Vwawa
Japhet Hasunga (CCM) - Kura 38,226
Fanuel Mkisi (CHADEMA) - Kura 17,157
Tunduma -
David Silinde (CCM) - Kura 43,276
Frank Mwakajoka (CCM) - kura 12,433
Matukio kuelekea uchaguzi mkuu 2025
JANUARY
FEBRUARI
- Pre GE2025 DC Momba amshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi za miradi, katika sekta ya elimu
- Pre GE2025 Songwe yabubujikwa na machozi ya furaha na kumshukuru Rais Samia baada ya kupewa Majiko ya Gesi ya Ruzuku
- Pre GE2025 Mbunge Philip Mulugo Atangaza Rasmi Kugombea Ubunge Songwe
- Pre GE2025 Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi CCM Fadhili Maganya amesema CCM kimejipanga kupata ushindi wa haki mwaka huu
- Pre GE2025 Mbunge Condester: Msikubali kuhongwa pombe ili mkawapigie kura
- Pre GE2025 Juliana Shonza: Wanaume Leeni Watoto Wenu, Wanawake Tujishughulishe Kiuchumi