Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Vikundi 126 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi, iliyopo mkoani Songwe, vimepokea mikopo ya 10% kutoka mapato ya ndani ya halmashauri hiyo awamu ya kwanza kiasi cha shilingi bilioni moja milioni mia mbili tisini na nane .
Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Fedha za mikopo za asilimia 10 ni za moto, tusisikie vikundi hewa
Akikabidhi mikopo hiyo mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Bw. Hamadi Mbega, kando na kuishukuru serikali kwa kurejesha mikopo hiyo ametoa miezi mitatu nakuvitaka vikundi vilivyokopa kuanzia mwaka 2015-2023 na kutoroka na mikopo hiyo kujisalimisha kabla oparesheni ya kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ambapo mpaka sasa kiasi cha shilingi milioni mia tano na nne bado hazijarejeshwa.
Soma Pia: Waziri Mchengerwa: Fedha za mikopo za asilimia 10 ni za moto, tusisikie vikundi hewa
Akikabidhi mikopo hiyo mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Bw. Hamadi Mbega, kando na kuishukuru serikali kwa kurejesha mikopo hiyo ametoa miezi mitatu nakuvitaka vikundi vilivyokopa kuanzia mwaka 2015-2023 na kutoroka na mikopo hiyo kujisalimisha kabla oparesheni ya kuwasaka na kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ambapo mpaka sasa kiasi cha shilingi milioni mia tano na nne bado hazijarejeshwa.