joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
MY TAKE: Ukweli haukubaliki dhidi ya dynasties. Wapi katiba mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sonko nae in msema hovyo, alitakiwa mambo mengine akae kimya, akumbuke Uhuru ni rais na ni taasisi asije akajikuta anapata madhara hata ya kiafyaUgaidi upi tena jamani! Si tulikubaliana kenya kuna uhuru wa kutoa maoni 😂😂😂
Hata Kama anavuta bangi hutakiwi kusema mambo personal ya rais ..ndiio maana kwenye kiapo Kuna kipengele cha kuficha sirii.. sonko kaongea ukweli ambao haikua lazma aseme hadharani, ukizngatia anaemsema ni rais was nchiIla mkubwa anakichoma akubali ukweli
Kuna Vitu Confidential mkuu sio huu upuuzi wa kula ganji unamwona mkubwa jicho limeiva mda wote anatabasamu[emoji23][emoji23][emoji23] ni tiba nzuri kabisa mbona walioendelea wameiruhusu hii kitu. Afrika tunakomoana kwa vitu vya kipuuzi sana. Uwe unatumia lugha ya vijana mkuu hakuna sehemu nimetaja anavuta bangi[emoji34]Hata Kama anavuta bangi hutakiwi kusema mambo personal ya rais ..ndiio maana kwenye kiapo Kuna kipengele cha kuficha sirii.. sonko kaongea ukweli ambao haikua lazma aseme hadharani, ukizngatia anaemsema ni rais was nchi
Wahuni wanamwelewa sana huyu mekuKenyatta NI raia wa "Jamaica MTIIFU"
TL Mbona naye kama sonkoSonko nae in msema hovyo, alitakiwa mambo mengine akae kimya, akumbuke Uhuru ni rais na ni taasisi asije akajikuta anapata madhara hata ya kiafya
Wacha umang'aa mkuuTL Mbona naye kama sonko
mkenya akiongea maneno 10,chukha moja nalo lifunge kamba uburuze, maana si la kulihifadhi sana.Kuna wakenya huku jf walikua wanasema wakenya wana uhuru wa kumtukana Rais wao matusi yote wansyoweza sababu katiba inawalinda na Rais ni mtu wa kawaida sana kwao, nacheka tu huku naogopa