Kwa hyo sisi ndio tuwetunaangalia hcho ki x[emoji102]
Sawa mkuu usijali,Kwa tv mpya toleo hili ni parefu kidogo! Hata mtu ununue hii halafu urekebishe bado bei haiikuti ya mpya. So bado ni nafuu japo kila mtu ana uchaguzi wakeHapa inabidi tujue bei ya sony bravia inch 40 brand new ni sh ngapi tutoe gharama za kuitengeneza hii ndo mteja aamue anunue mpya ama anunue hii arekebisho screen. Kwa mafundi wa spea za flat screen hii inawafaa sana pia. Ama mtu upate tv ambayo kioo ni kizima ila mbovu then uwekewe hapo.Inch 40 sio mchezo kiswahili swahili, mkuu mimi binafsi ningeinunua ila siko vizuri kwa sasa. Watakuja wenye nazo wanunue mzee
Kama ni OG bei itakuwa juu sana. Bei ya kioo(display) ni robo tatu ya tv mpya, ndio maana anauza.Hapa inabidi tujue bei ya sony bravia inch 40 brand new ni sh ngapi tutoe gharama za kuitengeneza hii ndo mteja aamue anunue mpya ama anunue hii arekebisho screen. Kwa mafundi wa spea za flat screen hii inawafaa sana pia. Ama mtu upate tv ambayo kioo ni kizima ila mbovu then uwekewe hapo.Inch 40 sio mchezo kiswahili swahili, mkuu mimi binafsi ningeinunua ila siko vizuri kwa sasa. Watakuja wenye nazo wanunue mzee