mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Sold tayari kakalaki 5 ipo
Ipo nyingine boxed kwenye box lake yani ni mpya kuliko new [emoji3] ila pia kwa laki tano utasubirilaki 5 ipo
sh ngap mkuu?Ipo nyingine boxed kwenye box lake yani ni mpya kuliko new [emoji3] ila pia kwa laki tano utasubiri
750K ukilia sana 720K mwisho. 0786371108.sh ngap mkuu?
Boss ni mpya kabisa. Unakuja unatest hata siku nzima ukiridhika unalipaKwa nijuavyo Mimi sh. 700,000 unaiuza Bei Rahisi sana Ina Tatizo gani?
nitumie picha nione basi. napata padi ngap na CD ngapi?750K ukilia sana 720K mwisho. 0786371108.
Mbona picha zipo mwanzo kabisa wa bandiko langu hili ambalo sijalilipia.nitumie picha nione basi. napata padi ngap na CD ngapi?
ngoja nijichange nije kuichukua
Sold ila ukiwa tayari mi nipe siku moja tuu unapata ps4ngoja nijichange nije kuichukua
vip mkuu unaweza nichekia xbox 360 iliyochipiwa?Sold ila ukiwa tayari mi nipe siku moja tuu unapata ps4
Kuna jamaa anajiita Chris Developer ni mwanangu sana anauzaga haya madude ngoja nimcheki alafu nitakupa namba yakevip mkuu unaweza nichekia xbox 360 iliyochipiwa?
vip mkuu unaweza nichekia xbox 360 iliyochipiwa?