Dick Willy
Member
- Aug 23, 2019
- 17
- 2
Vipi battery zake zinakaa na chaji?
Wakuria tunasema" huyu muusaji amerara mbere"Nasubiri jibu
Mukuru ebu fafanua kidogo.simu zna kamera kali sana hizo sema nilizishndwa kwenye battery tu
Akati reviews zote zinasema simu ina kamera mbovu mkuu ,ila flagship soc and designsimu zna kamera kali sana hizo sema nilizishndwa kwenye battery tu
Hapa kuna hatari ya kutembea na power bankVipi battery zake zinakaa na chaji?