Soon nakuwa mama wa kambo. Nahitaji maombi yenu na ushauri wa maisha haya mapya

Nyie ndio wale mnafeligi mtihani. Soma uelewe ndugu sio kuanza ku attack. Mali kitu gani wewe. Mimi sina shida ya mali ninazo za kutosha aisee.
Am sorry take it easy ni jaribu tu nalo litapita.
 
mimi sio mwanamke, tofautisha mwanaume na mwanamke, hatupo sawa na hatutakuja kuwa sawa. watoto wangu nikiamua ataishi nao, wakwake labda kama niliwakuta.
Hehe unaamuaje na ushasema wife hataki umlete?
Ama
Mkuki kwa nguruwe sio lol😅
 
Kwanini alikuuiba kwa mama yako ilihali ulikuwa mchanga kabisa
 
Kwani bond yako na baba ake uliipataje? na mlikutana ukubwani?

Au kwa vile ana hela?
 
Kwanini alikuuiba kwa mama yako ilihali ulikuwa mchanga kabisa
My mother alikua mchepuko tu na mzee alikua kaoa tayar na ana watoto wa 4 mpaka wakat huo.So hakukua na namna na yeye hakua tayar kuwa na family 2 apart so akatengeneza zengwe.Ofcz ilikua sio kirahis cz mama alikua mtata na anajimudu kivyote na mzee alikua alwatan kidogo..Ni story ndefu kidogo
 
Thanks
 
Kuletewa mtoto ambaye ulimkuta umleee sidhani kama ni changamoto sababu tayari ulishapewa taarifa kuwa kuna mtoto.

Bond inatengenezwa kwa upendo haijalishi umewahi kuishi nae au laaa. Akija mleee sawa sawa na watoto wako na watoto wako wakiona unawatreat na wao itakuwa rahisi kujifunza upendo.
Kila la kheri kuwa mama mzuri,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lako LA kwanza ni hapo unapoanza kujiita mama wa kambo,yani hadi hapo umeshaanza kujitenga nae,na kujitofautisha nae,ww ni mama yake,usijiite mama wa kambo utakua unazidi kujiweka mbali nae,bora ujiite mama mlezi lkn sio mama wa kambo.utajisikiaje ukiolewa mahali then mumeo ajiite baba wa kambo kwa mwanao?.....japo kweli ni baba wa kambo kwa kiswahili fasaha lkn neno lenyewe hilo sio tamu masikioni.muite mwanao inatosha,na ujitambulishe kuwa ni mama yake,hata mbele za watu nae akiwepo na akisikia jitambulishe kuwa ww ni mama yake,hio itampa confidence zaidi na kujiamini na usishangae nae atakutambulisha kwa wenzake kuwa ww ni mama yake na hataweza kusema kuwa ww ni mama yake wa kambo,mlee vizuri sana,mpende zaidi ya wanao wa kuwazaa maana mwanao tayari mnaunganishwa na damu ila huyo utajiunganisha nae kwa upendo uliopitiliza,hujui pengine ndio atakua mhimili wako baadae ukizeeka,tumeshaona wazee wengi wakitelekezwa na watoto wao wa damu na kusaidiwa na wengine,kwaiyo usimpuuze kbs kisa na ww umezaa watt wako,wtt wenyewe hawa wa cku hizi wanatukana hadi wazazi.nakusihi mpende sana,MPE malezi bora,usimtenge wala kumnyanyasa,ww ndio uwe mtetezi wake hata pale baba yake mzazi anapomfokea na kumgombeza,..ukifanya hivyo nakuapia mbele za Mungu atakufaa sana cku moja,tena atakufaa kuliko uzao wa tumbo lako.tatizo moja nililoligundua kwako ni kwamba nafsi yako haipo tayari kuishi nae,na hapo unajilazimisha na kujibaraguza hadi kuja kuomba ushauri kwakua tu huna LA kufanya na huwezi kumwambia mumeo kuwa humtaki,laiti ungeweza kuwa na sauti ya kusema humtaki basi ungefanya hivyo ila unakuja kujitia huruma hapa na kujionyesha kuwa hana ubaya nae lkn trust me,...una roho ya kibaguzi na uchoyo km sio roho mbaya kabisa.maisha ya dunia ni haya haya tu
 
Acha Umalaya.
 
Umeona ni umalaya tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…