Soon possible mtaijuwa tu hi dunia ina machizi

[HASHTAG]#DaMangaKasema[/HASHTAG] wanamatatizo kwa hiyo wanataka kumzuia mungu nae asifanye kazi yake,kisa maandamano tar 26/4,HUU SI UCHIZI MNAOTULETEA.
 
msishangae kusikia yule chiI wa insta anasema eti ni mipango ya bashite ya kupotezea maandamano ... ndo mtajuwa dunia imeja watu wenye laana ... R.I.P sister Agnes.
ChiI wa ig ni nani?
Wengine hatutumii insta
 
Unachokifikiria kinawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…