habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site 2nako jenga, alikwenda tangu asubh, akarudi sa 8 ucku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv rum, ila anachonishangaz akiwa site uwa tunawasiliana ila ikifka sa kumi atumi msg wala kupiga na ukimpgia anaongea kwa wasiwasi, mpaka cku iz nimeacha kumpigia. na hii ni mara ya tatu jamani nifanyeje? na c mpenz wa kutoka nje, ila akitoka kasumba yake ndo hiyo, nahic nimechoka na tabia hii, mi uwa namnyamazia naishia zangu kulia, na kibaya zaidi mwanangu b
Word!!!!!!😛oasasa usiposema atajuaje kama hupendi hiyo tabia? Wanamme wanakamua nje lakini mwambie ili ajue abadili trick maana hiyo kama umeishtukia atumie nyingine ambayo haitakuumiza.
Acha kutumia antena tumia brain.
habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site 2nako jenga, alikwenda tangu asubh, akarudi sa 8 ucku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv rum, ila anachonishangaz akiwa site uwa tunawasiliana ila ikifka sa kumi atumi msg wala kupiga na ukimpgia anaongea kwa wasiwasi, mpaka cku iz nimeacha kumpigia. na hii ni mara ya tatu jamani nifanyeje? na c mpenz wa kutoka nje, ila akitoka kasumba yake ndo hiyo, nahic nimechoka na tabia hii, mi uwa namnyamazia naishia zangu kulia, na kibaya zaidi mwanangu b
Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"
ILA; Sasa ukilia ndo nini na wewe ushakuwa mama ??? Anafanya huo unyambilis wake kwa kuwa anajua na wewe ni soft kama tissue paper.....nakuibia siri hapa (masela mnichunie ili kuimarisha ndoa ya huyu man mwenzetu) mamy sisi (responsible husbands) huwa tunatingishika khaswaa unapokuta mkeo hayuko na amani na anafanya responsibilities zake kama kawaida as la kwanza kwetu ni furaha ya familia then sarakasi za nje ndo zinanoga. kama family inayumba hata huko nje ni tasteless sasa chukia kweli na uoneshe umechukia kwa kauli na matendo tena dai hiyo haki ya kusikilizwa usiku na mchana...then umuwekee mabaya yake na kwanini wewe unayaona ni mabaya......safari za site kama uko free nawe nenda sio ukae tu unaangalia nigerian movies....mtafute pesa wote yeye akakae juani na mafundi we upumzike tuuu kama mama yake mzazi....waweza kuta kuna jirani hapo site anapika na kupakua we upo na remote tuu kubadilisha channels.............Get up....stand up...stand up for your rites (Bob Marley)
Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"
Pole sana dada......huyo jamaa (m sorry) ni msha--mba sana huyo hayo madudu wenzake huwa wanayafanya with a very high degree of respect kwa mke wa ndoa.....hope tutakutana naye huko street university tumpe lesson on "how to respect a wife"
ILA; Sasa ukilia ndo nini na wewe ushakuwa mama ??? Anafanya huo unyambilis wake kwa kuwa anajua na wewe ni soft kama tissue paper.....nakuibia siri hapa (masela mnichunie ili kuimarisha ndoa ya huyu man mwenzetu) mamy sisi (responsible husbands) huwa tunatingishika khaswaa unapokuta mkeo hayuko na amani na anafanya responsibilities zake kama kawaida as la kwanza kwetu ni furaha ya familia then sarakasi za nje ndo zinanoga. kama family inayumba hata huko nje ni tasteless sasa chukia kweli na uoneshe umechukia kwa kauli na matendo tena dai hiyo haki ya kusikilizwa usiku na mchana...then umuwekee mabaya yake na kwanini wewe unayaona ni mabaya......safari za site kama uko free nawe nenda sio ukae tu unaangalia nigerian movies....mtafute pesa wote yeye akakae juani na mafundi we upumzike tuuu kama mama yake mzazi....waweza kuta kuna jirani hapo site anapika na kupakua we upo na remote tuu kubadilisha channels.............Get up....stand up...stand up for your rites (Bob Marley)
You said it all. Wanaume wengi wananogewa nje kwa sababu wake zao wanaugulia chini chini. Usimpe peace of mind uone kama huko nje itasimama. Jua position yako bidada :"you are the WIFE for Christ's sake!"
Huyo mwanaume ni wewe mwenyewe unamharibu kwa kutokuwa muwazi. Ngoja awe sugu uone kama atabadilika.
Mulika mwizi:director:
Hisia zinaua haraka kuliko facts,
Tafuta kwanza facts badala ya kujitafutia kifo......!!
Nitarudu baada ya lunch,
Babu DC!!