Sophia Simba akejeli kampeni ya TAMWA

Origional Pastor,

Sidhani kama ulipaswa useme kuwa ana ngoma ndo mana anaropoka ropoka, kwa maana kusema hivo ni kunyanyapaa watu wote wanaoishi na VVU. Tuendelee na mada ya Sofia Simba, ila vitu vingine viko sensitive sana kwa jamii ya watu wengine tunaowapenda!

Ni kama mchangiaji mmoja alisema kuwa, wakati umefika sasa wa kuangalia watu wa kuwachagua kuongoza, especially kwa akina mama kwakuwa SS ameonyesha kushindwa na hajui anachokifanya. SS ni samaki aliyeoza lakini hayupo ndani ya kapu, yupo peke yake, hivyo samaki wengine bado wako fresh kabisa. bado tuna imani na kina mama katika uongozi. Tuna mifano michache mizuri ya viongozi bora akina mama kama Magret Sitta, Dr.Asha Migiro n.k.
 
 
Nachukua fursa hii kumtangaza Sophia Simba kuwa janga la kitaifa.
 
“Kikao cha UWT kinampongeza kwa kazi nzuri, wale wanaomsema vibaya washindwe na walegee,” alisema Waziri Sophia Simba

rejea hiyo blod hapo juu....huyu mama alifaa awe kwenye mipasho
 

Dah! Mchungaji orijino hii imekaaje?

Of course huyu mama ni kilaza, kama alivyo JK, lakini lugha uliyotumia hapo juu mshikaji...mhhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…