Sophia Simba: Richmond haikulipwa hata senti tano

Sasa hapa inabidi pia tuangalie jee walio mpigia kura kuwa mwenyekiti wa UWT nao wana akili au ndio Bendra hufuata upepo
 

Hii kali sana , lakini inanikumbusha ile santuri ya manungayembe!
 
Uongo mwingine ni wa kijinga kweli! Richmondi haikulipwa? Hii sasa ni TOO MUCH! Sofia dadangu ACHIA NGAZI, umechemsha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…