Mchapaji
Member
- Mar 22, 2010
- 26
- 1
Wadau, jana nilikuwa nikisikiliza kipindi cha JAHAZI, Clouds Fm na ndipo nikapata nafasi ya kumsikia Sophia Simba akihojiwa na Kibonde kuhusu swala la yeye kugombea mwaka huu....
Mama huyo alisema, hatagombea ubunge sehemu yoyote ile ila atakuwa mpiga debe tu kwa wanawake watakaojitokeza kugombea maana "piga ua garagaza" yeye ataendelea kuwa mbunge tu kutokana na wadhifa wake wa kuwa mwenyekiti wa baraza la akina mama...
Swali langu ni;
Hivyi uenyekiti wa UWT unaingilianaje na maswala ya kisiasa?
Ni vigezo gani vinatumika kumpa huyo mama ubunge bila kuutolea jasho?
Aksanteni.
Mama huyo alisema, hatagombea ubunge sehemu yoyote ile ila atakuwa mpiga debe tu kwa wanawake watakaojitokeza kugombea maana "piga ua garagaza" yeye ataendelea kuwa mbunge tu kutokana na wadhifa wake wa kuwa mwenyekiti wa baraza la akina mama...
Swali langu ni;
Hivyi uenyekiti wa UWT unaingilianaje na maswala ya kisiasa?
Ni vigezo gani vinatumika kumpa huyo mama ubunge bila kuutolea jasho?
Aksanteni.