SOS: Kaimu Mkurugenzi wa Bugando ujiuzulu kwa uzembe na mapuuza

SOS: Kaimu Mkurugenzi wa Bugando ujiuzulu kwa uzembe na mapuuza

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Jana kaimu mkurugenzi wa Bugando amepinga MWANO kuwa anaupungufu wa mitungi ya kutunzuia na kugawia hewa ya oksjeni kwa wagonjwa ambao kwa madai yake anasema wameongezeka.

Mkurugenzi huyu akubali kuingizwa kwenye orodha ya wauwaji kwa sababu zifatazo:-

1. kama mwaka mmoja uliopita akikataa kuidhinisha ununuzi wa mtambo wa kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake

2. mitungi ya kutunzuia na kugawia hewa ya oksijeni inauzwa dola 250 ambao ni sawa na kiasi anachowatoza hao wagonjwa anaodai wameongezeka na wengi wao wana uwezo wa kulipa.

3 ameleta taharuki ambayo angekuwa anajali angeweza kuiepusha kwa kuidhinisha ununuzi na ufungaji wa mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake .

Hajachelwa kwa taarifa nilizo nazo mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake ipo na inaweza kufungwa ndani ya siku zisizo zidi tatu na kuokoa maisha ya watanzania wasio na kosa.
 
Sisi wabongo hatuna desturi ya kuachia madaraka kwa maslahi ya umma
Hiyo ni ngumu sana
Huyu ataendelea tu kutuua kwa muda mrefu ujao
Kuachia Hawezi
Namkumbuka Omary Nundu Aligoma Kujiuzuru Uwaziri
Akaita Waandishi Wa Habari
Akiuliza Ajiuzuru Kwa Lipi
 
Ventilator zinatosha? au pesa imepelekwa kwenye bajeti ya mwenge na kujenga sanamu..
 
Mwaka mmoja uliopita alikataa kununua hiyo mitambo kwa kumuogopa yule aliekuwepo, Rais Samia amekuja kubadilisha upepo ambao kila mmoja wetu anajua Tanzania ya mwaka mmoja uliopita ilikuwa inajiendea kivyake tofauti na nchi nyingine duniani.

Kumtaka ajiuzulu huyo pekee ni kumuonea, kama issue ni kujiuzulu basi wajiuzulu wote waliofuata mtazamo wa mtawala aliepita na hawakumpinga, tukianza na Samia mwenyewe, Majaliwa, Ndugai, na wengineo.
 
Jana kaimu mkurugenzi wa Bugando amepinga MWANO kuwa anaupungufu wa mitungi ya kutunzuia na kugawia hewa ya oksjeni kwa wagonjwa ambao kwa madai yake anasema wameongezeka.

Mkurugenzi huyu akubali kuingizwa kwenye orodha ya wauwaji kwa sababu zifatazo:-

1. kama mwaka mmoja uliopita akikataa kuidhinisha ununuzi wa mtambo wa kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake

2. mitungi ya kutunzuia na kugawia hewa ya oksijeni inauzwa dola 250 ambao ni sawa na kiasi anachowatoza hao wagonjwa anaodai wameongezeka na wengi wao wana uwezo wa kulipa.

3 ameleta taharuki ambayo angekuwa anajali angeweza kuiepusha kwa kuidhinisha ununuzi na ufungaji wa mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake .

Hajachelwa kwa taarifa nilizo nazo mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake ipo na inaweza kufungwa ndani ya siku zisizo zidi tatu na kuokoa maisha ya watanzania wasio na kosa.
OXygeni inatengenezwa na Mungu. Huyo mtamuonea tu
 
Hajachelwa kwa taarifa nilizo nazo mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake ipo na inaweza kufungwa ndani ya siku zisizo zidi tatu na kuokoa maisha ya watanzania wasio na kosa.
Sipingi unayosema hapa, ila ni wazi kwamba nawe una maslahi katika mradi huo, pengine wewe ndiye 'supplier' wa mashine hiyo ya kuchakata oksijeni, pamoja na hiyo mitungi.

Kwa hiyo kwa kuwa hii ni dharura, nawe uwe tayari kuokoa jahazi. Nenda kafunge mashine haraka ili waTanzania wasipoteze maisha hapo badala ya kuja kutoa lawama kwa Mkurugenzi.

Kuna dharura sasa, nenda kaongee naye ili kazi ianze mara moja, halafu ujira wako mtaelewana mbele ya safari.
 
Mwaka mmoja uliopita alikataa kununua hiyo mitambo kwa kumuogopa yule aliekuwepo, Rais Samia amekuja kubadilisha upepo ambao kila mmoja wetu anajua Tanzania ya mwaka mmoja uliopita ilikuwa inajiendea kivyake tofauti na nchi nyingine duniani.

Kumtaka ajiuzulu huyo pekee ni kumuonea, kama issue ni kujiuzulu basi wajiuzulu wote waliofuata mtazamo wa mtawala aliepita na hawakumpinga, tukianza na Samia mwenyewe, Majaliwa, Ndugai, na wengineo.
Kati ya wote uliowataja, ndugai ndiye broiler specie. Yaani jamaa si riziki kabisaaa!
 
Jana kaimu mkurugenzi wa Bugando amepinga MWANO kuwa anaupungufu wa mitungi ya kutunzuia na kugawia hewa ya oksjeni kwa wagonjwa ambao kwa madai yake anasema wameongezeka.

Mkurugenzi huyu akubali kuingizwa kwenye orodha ya wauwaji kwa sababu zifatazo:-

1. kama mwaka mmoja uliopita akikataa kuidhinisha ununuzi wa mtambo wa kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake

2. mitungi ya kutunzuia na kugawia hewa ya oksijeni inauzwa dola 250 ambao ni sawa na kiasi anachowatoza hao wagonjwa anaodai wameongezeka na wengi wao wana uwezo wa kulipa.

3 ameleta taharuki ambayo angekuwa anajali angeweza kuiepusha kwa kuidhinisha ununuzi na ufungaji wa mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake .

Hajachelwa kwa taarifa nilizo nazo mitambo hiyo ya kufua gasi ya oksjeni na mitungi yake ipo na inaweza kufungwa ndani ya siku zisizo zidi tatu na kuokoa maisha ya watanzania wasio na kosa.
Yaani Tanzania tuna tia aibu tumekuwa na Corona zaidi ya mwaka kwanini mpaka leo tunatatizo la mitungi ambayo kila mtu anajua ni njia ya kujihami na kuokoa maisha kwenye janga hili
 
Sipingi unayosema hapa, ila ni wazi kwamba nawe una maslahi katika mradi huo, pengine wewe ndiye 'supplier' wa mashine hiyo ya kuchakata oksijeni, pamoja na hiyo mitungi.

Kwa hiyo kwa kuwa hii ni dharura, nawe uwe tayari kuokoa jahazi. Nenda kafunge mashine haraka ili waTanzania wasipoteze maisha hapo badala ya kuja kutoa lawama kwa Mkurugenzi.

Kuna dharura sasa, nenda kaongee naye ili kazi ianze mara moja, halafu ujira wako mtaelewana mbele ya safari.

dharura gani wakati huu ugojwa ulikuwepo kwenye Dunia hii kwa zaidi ya mwaka! Yaani tumeshidwa kutengeneza mitungi!
 
Sipingi unayosema hapa, ila ni wazi kwamba nawe una maslahi katika mradi huo, pengine wewe ndiye 'supplier' wa mashine hiyo ya kuchakata oksijeni, pamoja na hiyo mitungi.

Kwa hiyo kwa kuwa hii ni dharura, nawe uwe tayari kuokoa jahazi. Nenda kafunge mashine haraka ili waTanzania wasipoteze maisha hapo badala ya kuja kutoa lawama kwa Mkurugenzi.

Kuna dharura sasa, nenda kaongee naye ili kazi ianze mara moja, halafu ujira wako mtaelewana mbele ya safari.
Mkuu kufa kufaana miye upepo umepita karibu yangu tu sihusiki kwa lolote. BTW biashara yako ya barakoa inaendaje?
 
Sisi wabongo hatuna desturi ya kuachia madaraka kwa maslahi ya umma
Hiyo ni ngumu sana
Huyu ataendelea tu kutuua kwa muda mrefu ujao

mbona mwinyi alipokuwa waziri mambo ya ndani alijiuzuru mbona lowasa waziri wa maji alijiuzuru
 
mbona mwinyi alipokuwa waziri mambo ya ndani alijiuzuru mbona lowasa waziri wa maji alijiuzuru
wanaosema Tanzania hakuna utamaduni wa kujiuzulu kwa kweli hawako sahihi WAMESASU TU au hawakuwepo
 
Back
Top Bottom