Sosha kaambiwa ajiuzulu ila hataki

Song of Solomon

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
2,752
Reaction score
5,609
HABAR ILIOPO MANCHESTER

Sosha kaambiwa ajiuzulu ila hataki na sasa yupo kwao ila kuna kijambo kinaendelea pale OT

Game ijayo ya jmosi dhidi ya Watford mashabiki wataandamana ili game hiyo isichezwe wamekubali hata Watford wapewe points ilimradi tu sosha aondoke

Mpaka sasa manchester wanawatag makocha watatu 1zizu 2 Eric hag 3 Luis Enrique

Rio Ferdinand yuko tayari katika maandamano hayo kuungana na mashabiki ili kuinusuru manchester na kufukuzwa kwa ole

Kwa upande mwengine Edwoodward anaweza asiwe na cheo chake huenda kikachukuliwa na mtu mwengine

Kwa upande Edwin van dar Sar anaweza Kuja United kuwa mzee wa kuleta vipaji pale OT

inawezekana sosha asirudi Tena kwa taarifa zilizopo timu sasahivi yupo nayo Michael Carrick mpaka watakapoamua yao maana mashabiki washasema wataandamana na ndo mana Sosh yupo pembeni kwanza anasikiliza upepo

Hayo ndio yaliopo ila naamini kila mmoja wetu humu anatamani ifike siku ya jmosi ili ajionee kile kitachojiri pale old Trafford[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]

NINI MAONI YAKO SHABIKI MWENZANGU

 
Hyo timu hata ifundishwe na malaika HAINA JIPYA
 
Sisi watu wa Chelsea, Man city Liverpool nk tunamuombea ole adumu maana kawatoa mbali mno
 
Chanzo cha habari hii ni kipi mzee..

Mkipata ten hag kuna boli moja konki saana mtalipiga pale, luis enrique yes ni kocha mwenye mipango, mtegemee vikombe.
Zizzou nae si haba, japo nina mashaka nae, nina wasiwasi wachezaji walimbeba.
 
Huyo mmasai wenu haondoki kirahisi kama mnavyofikiria,

Si aliwatapeli mkampa mkataba wa miaka mitatu, anataka mmfukuze ili mmlipe pension yake apumzike kwa raha zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…