Sisi tuliawaambia mvumilieni mourinho, au yule Moyes wa west ham nyie mkasema sosha ni Sir Alex Ferguson mtupu haya sasaWatu mnaroho mbaya sana[emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38]
Mourinho hapana hebu fuatilia matokeo kwenye timu zote anazopitia kwasasa yaani hana jipya hata hao As Roma wanapumulia machineSisi tuliawaambia mvumilieni mourinho, au yule Moyes wa west ham nyie mkasema sosha ni Sir Alex Ferguson mtupu haya sasa
Zidane akichukua timu huenda Christmass ikamkuta kashafukuzwa.Zidane ni Ole mwingine!
Man u ni Utopolo iliyochangamka.Sio lazima u comment
kwani wewe hujui umeipata wapi.Chanzo cha habari hii ni kipi mzee..
Mkipata ten hag kuna boli moja konki saana mtalipiga pale, luis enrique yes ni kocha mwenye mipango, mtegemee vikombe.
Zizzou nae si haba, japo nina mashaka nae, nina wasiwasi wachezaji walimbeba.
Kwa hio unachagua wa kucomment na cha kucomment?!!Sio lazima u comment
Atakuwa Ole aliye changamkaZidane ni Ole mwingine!