Mueleze Bajana uliyemkusudia kwa kina.Acha kuonesha chuki zako kwa wengine.Mohamed Hussein Zimbwe hapo kahusika nini na habari hizo?Huyu kiungo nondo wa Taifa stars na Azam. Hakika anakosa watu wa kucheza Nao tu pale Taifa stars ila ni kiungo mmoja mzuri na mkatili sana.
Sifa zitazomfanya awe CAPTAIN national team ni uwezo wake wa kuongea lugha ya kingereza Kwa ufasaha kiasi tofauti na wachezaji wa SIMBA mfano ZIMBWE alieongea pumba siku wanapigwa 5 na yanga na BACCA aliyeambiwa URUKE MPIRA na samata akapiga yeye.
Namuombea azidi ku improve Kila siku na apunguze temper maana atakuja kuwa mtu mzito muhimu sana kwenye team yetu ya TAIFA.
STRONG MAN
View attachment 2822195
Umri umeenda tayari huyo ni kipindi kile anaitwa Bryson Rafael alikuwa mtu sana ila umri umeenda.Huyu kiungo nondo wa Taifa stars na Azam. Hakika anakosa watu wa kucheza Nao tu pale Taifa stars ila ni kiungo mmoja mzuri na mkatili sana.
Sifa zitazomfanya awe CAPTAIN national team ni uwezo wake wa kuongea lugha ya kingereza Kwa ufasaha kiasi tofauti na wachezaji wa SIMBA mfano ZIMBWE alieongea pumba siku wanapigwa 5 na yanga na BACCA aliyeambiwa URUKE MPIRA na samata akapiga yeye.
Namuombea azidi ku improve Kila siku na apunguze temper maana atakuja kuwa mtu mzito muhimu sana kwenye team yetu ya TAIFA.
STRONG MAN
View attachment 2822195
Kipi kilisababisha kubadili jina?Umri umeenda tayari huyo ni kipindi kile anaitwa Bryson Rafael alikuwa mtu sana ila umri umeenda.
Utapoteza mda wako bure kwa huyo jamaaWakati mwingene acha kuandika pumba, samata kwanini amwambie Bacca kwa english aruke mpira wakati wote ni waswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Samata kazoea sana UlayaWakati mwingene acha kuandika pumba, samata kwanini amwambie Bacca kwa english aruke mpira wakati wote ni waswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Uongozi ni inborn,hata Zidane alimpiga kichwa Materazzi lakini quality yake ya leadership haijawahi kudharaulikaHatari za kupigana na amrabat