Soud brown ni mtangazaji aliye amua kuishi kitumwa

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
955
Kama kuchagua brand soud kachagua,anajipa shida muda mwingi kwa kuvaa mask,akitaka kula lazima afunue kofia lake,hivi najiuliza kwenye matukio ya kijamii inakuaje,msiba,kuchimba kaburi,harusi,na kama ameoa alienda na mask ukweni?kama ndiyo basi kamuoa mtoto wa chid benzi[emoji12] [emoji12]
 
Ndio nani?
 
Nasikia alivuliwa kwa amri na wale jamaa waliopita kwenye CCTV camera za klauzi tifi na yeye kutii bila ubishani wowote
 
Ana maisha mara 2. 1 maisha ya kazi na 2 maisha ya kawaida means upande ni soudy na upande mwingine ni mtu mwingine! Ww umemjua na kumzoea ktk maisha yake ya kazi huko kwingine na wengine wana mjua na kumfahamu kivingine, working lyf, normal lyf, private lyf and dark lyf, hii kila mtu anayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…