Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Nimeipitia hii albumb,binafsi nyimbo mbili au tatu tu ndo nimeziona kidogo ziko vizuri,Zamani, Mama na Lala ft Jux kiasi,..nyingine zote hazina maajabu,watoto wa mjini siku hizi wanaita "utopolo"
Hitimisho:Binafsi EP ya Flowers was the best kuliko hii albumb ya hovyo kabisa tangu kuzaliwa Tanzania,yani haina nyimbo za kubamba ingawa 80 ya nyimbo zote zina mahadhi ya kiafrika (hapa nampa kongole).
Hitimisho:Binafsi EP ya Flowers was the best kuliko hii albumb ya hovyo kabisa tangu kuzaliwa Tanzania,yani haina nyimbo za kubamba ingawa 80 ya nyimbo zote zina mahadhi ya kiafrika (hapa nampa kongole).