hujalewa, una umri wa miaka 18 na kuendelea, huna kichaa cha muda mrefu, wala cha muda mfupi.habari za jion waungwana ,naomba mnisaidie kujibu swali hili. How can the law of contract determine the soundness of mind for the purpose of entering into contract
Habari za jion waungwana ,naomba mnisaidie kujibu swali hili. How can the law of contract determine the soundness of mind for the purpose of entering into contract.
Kweli.si kweli kwamba mtu mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea ndy anayepaswa kusheria kuingia katika mkataba, Lahasha, hata mtu aliyechini ya miaka 18 aweza kuingia katika mkataba katika mazingira fulani. thisis not extrict rule. mazingira haya yaweza kuwa kama, mikataba inyohusu mambo ya msingi kama elimu, chakula, mavazi nk. soma SOGA utaelewa vizuri. asante