Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekumbuka alivyoitaja Kuwait enzi zile za kuomba kura.Utasikia kuwa "sisi huwa hatukopi,miradi yetu yote tunajenga kwa fedha zetu za ndani",kumbe tunadaiwa hadi na Iraq![emoji205][emoji205][emoji205]
Hayo ni madeni ya mafuta ya miaka mingi ya nyuma. Huoni kuwa hizo zote ni oil producing countries.Ni aibu Sana kuona Tanzania inakopa Deni kwa nchi maskini kama Angola. Iran na Iraq nazo ilowakopa mabomu ama Nini[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787]
View attachment 1822561
Kenya inadaiwa hadi na Zanzibar [emoji3][emoji3][emoji3]Kenya inakopa south Sudan. [emoji1787] [emoji1787][emoji1787]
Kenya inadaiwa hadi na Zanzibar [emoji3][emoji3][emoji3]
Amka utoke kwenye ndoto.Hao Zanzibar ipo siku watawatokea puani, mliwaingiza kwenye huo mkenge wa muungano, kila siku wanazaliwa vizazi vipya visivyoungamana na hizo sounds.....hebu ona hapa wanavyoidai ATCL hela kama yote....
![]()
Amka utoke kwenye ndoto.
Nakushauri ukiwa kwenye ndoto ukawa na tumbo la kuhara. Tafadhali kemea hilo ni pepo, utajinyea kitandani.
Niambie umeusoma ushauri wangu!?Hehehe!!! Hivi mbona huwa mnawafanyzia hao kwenye hako kakisiwa kao kila wakihoji uhalali wa muungano....
Niambie umeusoma ushauri wangu!?
Kuchamba kwingi utaondoka na mavi.