Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,205
Raha sanaTusubiri dakika 30 za nyongeza,RSA wamecheza vizuri sana leo,wanastahili pongezi
Jamaa ni mzuri sana yaani,anadakia Kaizer Chiefshivi yule kipa wa south africa anadakia timu gani? manake jamaa noma na kama anachezwa timu ya south afric nina huakika atakula maisha europe summer hii.
Dah,mbuzi tayari kala mbwa,Spain 3 RSA 2Dk 15 za kwanza zimeisha,still 2-2